Skip to main content

Posts

More Football Transfer News

Football Transfer News...

LA Galaxy 2-5 Manchester United. Rashford apiga hat-trick

Katika mchezo uliomalizika wa preseason LA Galaxy vs Man United,  Man u wameibuka ma ushindi mnono kwa kuwachabanga wenyeji sao kwa mabao ma 5-2.

Ambwene Yesaya aka AY amvalisha pete ya uchumba Remy

Msanii mkongwe kwenye Bongo Fleva, Ambwene Yesaya amvalisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Remy. Remy na AY wamekuwa kwenye mapenzi kwa miaka 8.

RONALD KOEMAN POST MATCH COMMENTS

RONALD KOEMAN POST MATCH COMMENTS. “Overall, I’m happy. It was our first friendly - we saw the difference in the second half and we created good chances to score more goals. It was a good game but a difficult one,Gor Mahia made it tough for us. They dropped their intensity a little bit in the second half and we were the better team with fresh players. They were a good team and made it hard for us to find our extra man in midfield. They can be proud of their performance and I want to give them a lot of compliments for making it so tough for us. I have really enjoyed my time here. I enjoyed the intensity of the friendly as well. It has been a positive trip.” Source: #GorMahia

Ushawahi kumkumbatia Wayne Rooney? Mwenzako huyu hapa ameshawahi!

Mshabiki mmoja wa soka (pichani chini) alizua kizaazaa wakati wa mechi ya Gor Mahia dhidi ya Everton pale alipouvamia uwanja kunako dakika ya ya 20 na kwenda moja kwa moja kumkumbatia Wayne kabla naye hajavamiwa na polisi na hatimaye kumwondoa.mshabiki huyo alichukuliwa na polisi na kuwekwa chino ya ulinzi lakini mkuu wa mkoa baadaye aliingilia kati na kuomba aachiwe huru kwa alifanya hivyo kwa sababu ya furaha tu. 

Gor mahia 1-2 Everton. Rooney scored his first Goal for Everton

Katika mpambano uliopigwa Leo kwenye dimba la taifa Dar es salaam kati ya Gor Mahia toka Kenya (Sportpesa supercup champions) dhidi ya Everton kutoka Uingereza, Everton wameibuka kidedea kwa magoli 2-1. Mpambano ulikuwa mzuri, wa kivutia, wenye mbinu nyingi za kiuchezaji na upinzani mkali. Maholi ya Everton yaliwekwa kimiani na Wayne Rooney pamoja na Kieran Dowell kwa mashuti ya mbali wakati like la Gor Mahia likifungwa kwa ufundi sana kwa kichwa na Jacques Tuyisenga kwa kuunganisha kona iliyokuwa imwchongwa. Hata hivyo kipindi cha pili ndicho kilikiwa kitamu sana kwani kila timu ilicheza kwa nguvu na ustadi ili kupata ushindi. Na hatimaye ni Everton ndio waliofanikiwa kutoka uwanjani kifua mbele. Kivutio kikubwa uwanjani hapo alikuwa ni Mchezaji machachari na maarufu aliyetokea Manchester United na kujiunga na Everton Wayne Rooney. Mashabiki wengi walionekana kuvutiwa na mwana ndinga huyo kwani wamezoea kumwona runingani pekee lakini Leo wengi walionekana kuwehuka kwa kuweza kumwo...