Skip to main content

YANGA YAJIIMARISHA

Timu ya Yanga ambayo wiki iliyopita walichukua kwa mara nyingine kombe la Kagame baada ya kuichapa bila huruma timu ya Azam 2-0, imeendelea kujiimarisha kwa kumsainisha mchezaji maarufu Didier Kavumbagu kutoka Burundi.

Gazeti la Championi liliandika kwamba baada ya kumtilisha saini msukuma kandanda huyo wa Burundi, imetangaza kufunga usajili na sasa kuelekeza nguvu zake kwenye maandalizi ya ligi msimu ujao.

Mchezaji huyo anatarajia kurudi nchini keshokutwa ili ajiunge na wenzake kule Jangwani yalipo makao makuu ya wababe hao wa Afrika Mashariki na Kati.

Kavumbagu ndiyo yule aliyeifungia Atletico ya Burundi magoli 2 ambayo yaliizamisha Yanga kwenye mchezo wao wa ufunguzi wa kombe la Kagame.

Nikilinukuu gazeti la Championi ambalo nalo lilimnukuu Seif Ahmed anayehusika na mambo ya usajili aliyesema:-

“Kweli tumemalizana naye na ameishasaini kuichezea Yanga, yalikuwa ni maoni ya pamoja kati ya kocha na kamati yetu maalum. Kuanzia hapa nafikiri tutakuwa tumefunga usajili,”

 
 Wasukuma kandanda wa Jangwani, Yanga Africans 
wakiwa na jezi ya Njano ambayo ni maarufu sana

Hapa wakiwa na jezi ya kijani ambayo 
nayo ni maarufu sana Jangwani

Na huyu ndiyo mwenyekiti wa Yanga, Bwana Yusuf Manji

Na huyu ndo kocha mkuu wa Yanga
Tom Saintfiet

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?

Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champions League hopes alive. The Bleacher Report wrote. Rooney said all this after Joe Hart showed a very wonderful play when his team met Dortmund yesterday. According to Bleacher Report , the Manchester United striker was quick to praise City 's No 1 - also his England team-mate - after Hart produced a series of world-class saves in a pulsating 1-1 draw with Borussia Dortmund at the Etihad Stadium. Although City also created a number of chances, Hart's performance kept them in the contest before Mario Balotelli snatched a first point in Group D with a contentious last-minute penalty. Hart denied the German champions on eight occasions and Rooney - whose club manager Sir Alex Ferguson was in the crowd - was one of many observers hugely impressed. Hart could do little to prevent Dortmund taking the lead jus...