Skip to main content

YANGA YAJIIMARISHA

Timu ya Yanga ambayo wiki iliyopita walichukua kwa mara nyingine kombe la Kagame baada ya kuichapa bila huruma timu ya Azam 2-0, imeendelea kujiimarisha kwa kumsainisha mchezaji maarufu Didier Kavumbagu kutoka Burundi.

Gazeti la Championi liliandika kwamba baada ya kumtilisha saini msukuma kandanda huyo wa Burundi, imetangaza kufunga usajili na sasa kuelekeza nguvu zake kwenye maandalizi ya ligi msimu ujao.

Mchezaji huyo anatarajia kurudi nchini keshokutwa ili ajiunge na wenzake kule Jangwani yalipo makao makuu ya wababe hao wa Afrika Mashariki na Kati.

Kavumbagu ndiyo yule aliyeifungia Atletico ya Burundi magoli 2 ambayo yaliizamisha Yanga kwenye mchezo wao wa ufunguzi wa kombe la Kagame.

Nikilinukuu gazeti la Championi ambalo nalo lilimnukuu Seif Ahmed anayehusika na mambo ya usajili aliyesema:-

“Kweli tumemalizana naye na ameishasaini kuichezea Yanga, yalikuwa ni maoni ya pamoja kati ya kocha na kamati yetu maalum. Kuanzia hapa nafikiri tutakuwa tumefunga usajili,”

 
 Wasukuma kandanda wa Jangwani, Yanga Africans 
wakiwa na jezi ya Njano ambayo ni maarufu sana

Hapa wakiwa na jezi ya kijani ambayo 
nayo ni maarufu sana Jangwani

Na huyu ndiyo mwenyekiti wa Yanga, Bwana Yusuf Manji

Na huyu ndo kocha mkuu wa Yanga
Tom Saintfiet

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

The Happy Di Matteo..!

Roberto Di Matteo watched his attacking stars inspire a 5-4 extra-time victory over Manchester United and he preferred to savour a second night of high-scoring league cup thrills rather than focus on "the other stuff" in football. The Chelsea manager did not need to spell out what he meant, in the wake of the league fixture against United on Sunday, when his team's controversial 3-2 home defeat was followed by the allegation that the referee Mark Clattenburg had racially abused Mikel John Obi. There had also been spite in the stands. Di Matteo focused on the flair and spirit that his team had shown here, when they came from behind three times to force the extra period, with the substitute Eden Hazard scoring from the penalty spot with the very last kick of normal time. Hazard's quick feet and sumptuous reverse pass created what proved to be the decisive fifth goal late in extra-time for Ramires. "Over the last two days we have seen...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...