Skip to main content

Barclays English Premier League: Hivi Ndivyo Ilivyokuwa

Manchester City Dhidi Ya Liverpool
Hii ilikuwa ni Man City dhidi ya Liverpool. Ilikuwa ni moja ya mechi nzuri na kali sana tangu kuanza kwa English Premier League. 

Liverpool walionekana kujipanga vizuri zaidi na kuwapa shida sana walinzi pamoja na viungo wa Man City. 

Kama siyo makosa ya walinzi wa Liverpool ambao kwa namna moja au nyingine tunaweza kusema ndiyo waliochangia Man City kusawazisha magoli basi stori leo zingekuwa nyingine kabisa. 

Magoli ya Man City yalifungwa na Yahya Toure na Carlos Tevez na yale ya Liverpool yalifungwa na Martin Skrtel pamoja na Suarez

 Juu: Tevez alimpiga chenga kipa wa 
Liverpool na kusawazisha goli la pili 
kwa Man City baada ya mlinzi wa 
Liverpool Martin Skrtel kufanya 
makosa ya kurudisha mpira kwa 
goli kipa bila kuangalia kama kuna adui ama la.

 Juu: Hapa Tevez akishangilia baada ya 
kufunga goli la pili kwa timu yake




Juu:  Man City wakipongezana baada  
ya kusawazisha goli la kwanza
 kupitia Yahya Toure.

 Juu: Huyu ni kijana mdogo sana
 Raheem Sterling, Winga wa kushoto, 
mwenye umri wa miaka 17 tu. 
Alionesha kipaji cha hali ya juu na 
kusumbua sana walinzi wa Man City.





Arsenal Dhidi Ya Stoke City
Arsenal walishindwa kwa mara ya pili mfululizo kuwaridhishwa mashabi wao baada ya kutoka sare tena kwenye mchezo wao huo wa jana. 

 Hawa ni mashabiki wa Stoke City
 wakiwa na Mask za Arsene Wenger
 kocha wa Arsenal

 Hapa kulikuwa na mpambano 
mkali sana kati ya Peter Crouch 
wa Stoke na walinzi wa Arsenal



Manchester United Dhidi ya Fulham 
 Man United walinda magoli 3-2 dhidi ya Fulham. Ikumbukwe kuwa mechi yao ya kwanza walifungwa na Everton 1-0.

 Huyu hapa juu ni Usain Bolt, 
mfukuza upepo maarufu sana, 
raia wa Jamaica ambaye ametokea 
kuwa mshabiki mkubwa wa 
Manchester United. Hapa alikuwa katikati ya
 uwanja kabla ya kuanza kwa mechi
 ya Man United dhidi ya Fulham.

 Wayne Rooney akipelekwa nje baada 
ya kujeruhiwa vibaya sana kwenye paja lake. 
Inasemekana atakaa nje  ya dimba kwa 
wiki nne mfululizo akiuguza jeraha.

 Usain Bolt na ushabika wake kwa Man United.

 Wayne Rooney akichati na Welbeck kabla hawajaingia uwanjani 


 Robin Van Persie akifunga goli la kusawazisha 
kwa Man United kwa ufundi wa hali ya 
juu kama ilivyo kawaida yake. 
Na hili ndilo goli lake la kwanza tangu 
ajiunge na Man United.

 Shinji Kagawa akishangilia baada ya
 kufunga goli la pili kwa Man United

 Rafael Da Silva akishangilia baada ya 
kufunga goli la tatu kwa Man United

 Juu na chini, hapa ndiyo wakati 
Wayne Rooney anaumia

Chelsea Dhidi Ya Newcastle
Chelsea waliwafunga Newcastle magoli 2-0

 Juu: Eden Hazard


 Torres akishangilia goli






Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

This is How Manchester City Won Easily Against Sunderland

The New York Times Reported that, Manchester City turned on the style Saturday, easing to a 3-0 victory over visiting Sunderland that lifted the team to second place in England’s Premier League Aleksandar Kolarov scored from a free kick after five minutes, and Sergio Agüero and James Milner added goals in the second half to secure a convincing win.  By ending Sunderland’s unbeaten start, City maintained its own and won consecutive league matches for the first time this season.  “We played very well and took no risks,” City Manager Roberto Mancini told Sky Sports television. The team rediscovered its defensive solidity even without its back-line linchpin and captain, Vincent Kompany, who was out with a calf injury.  Micah Richards made a surprise return from an ankle injury, and Joleon Lescott was also restored to the defense. Yaya Touré took over as captain, playing alongside Gareth Barry in the midfield, while Carlos Tévez and Mario...