Skip to main content

Berbatov Aenda Fulham

Hatimaye Dimitr Berbatov anahama Man United na kuelekea Fulham kwa donge la dola milioni 5.

"Berbatov anamalizia vipimo vyake na kama mambo yataenda vema atakuwa moja ya wachezaji wetu. Kulikuwa na timu nyingi zilikuwa zinamuhitaji lakini sisi tulikuwa na uwezo wa kumpata. Alikuwa kwenye list yangu wakati wote. Nilijaribu kumfuatilia miezi kadhaa iliyopita lakini sikufanikiwa hivyo nilirudi tena na sasa ulikuwa ni wakati muafaka kwa yeye kufanya maamuzi." Alisema Martin Jol kupitia Fulham FC.com.


Berbatov alienda Man United akitokea Tottenham Hotspur mwaka 2008 kwa rekodi ya uhamisho wa dola milioni 30, kitu ambacho kinaonekana hakijaendana na uwezo wake wa kazi awapo uwanjani.

Lakini kama isingekuwa uwezo wake wa ajabu wa kipindi cha kwanza mwaka 2010-2011, Man United wasingeweka rekodi ya kuchukua kombe la ligi mara 19 msimu huo.

Berbatov alikuwa kwenye msimu wa mwisho wa mkataba wake, na kwake yeye mwenye miaka 31 kupata mkataba wa dola milioni 5 siyo biashara mbaya. Hasa ikizingatiwa kwamba thamani yake kama ilielekea kushuka na timu zilizomuhitaji zililijua hilo.

Man United wakiwa na washambuliaji kama Wayne Rooney, Robin Van Persie, Danny Welbeck na Javier Hernandez, Berbatov asingekuwa kwenye mpango wa Ferguson kama ilivyokuwa msimu uliopita.

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

Hawa Ndiyo Real Madrid Waliowafunga Man City Champions League Jana Usiku

Man City wakiwa wanaongo za kwa 2-1 dhidi ya Real Madrid huku zikiwa zimebaki dakika si zaidi  ya tatu walionekana kama ingekuwa ni timu ya tatu ya Uingereza kuifunga Madrid kwenye uwanja wa Bernabeu. Lakini vijana hao wa Mancini badala ya kuinza kampeni yao kwa ushindi walijikuta wakiachwa nyuma na kuwaangalia Madrid wakiibuka na ushindi baada ya Karim Benzema kusawazisha na kisha Cristiano Ronaldo kufunga goli la tatu na la ushindi, goli lililomfanya bosi wao Jose Mourinho kuslide uwanjani akishangilia goli hilo na Ronaldo. This was the real happiness now from Ronaldo BBC football pundit Robbie Savage alikuwa uwanjani huku Bernabeu. (quoting from BBC SPORTS) "Maicon was not at the races at all in the first half at right-back. He was a passenger and it was like City were playing with 10 men. Cristiano Ronaldo kept coming inside him. "In the second-half, Vincent Kompany looked at what was happening and came across to that wing more. Ronaldo did not...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...