Skip to main content

Unamfahamu Antonio Valencia? Huyu Hapa

 Valencia akiwa kwenye moja ya harakati zake za kuchonga krosi

Alijiunga na Manchester United mwaka 2009 kwa donge la dola milioni 17. Naye ni raia wa Ecuador.  Ilikuwa ni wakati Christiano Ronaldo anahamia Real Madrid na kuacha pengo kubwa sana kwa Man United. Pengo ambalo hakuna aliyewahi kuwaza kwamba lingezibika.

Lakini mara alipoanza kuichezea Man United alianza kuonesha kwamba anaweza kwani mbio pamoja na krosi zake kuelekea upande pinzani vilikuwa ni hatari tupu.

 Alianza vizuri sana lakini akakumbwa na balaa la kuumia kiasi kwamba alikaa nje ya dimba kwa muda na kufanya watu washindwe kushuhudia uwezo wake vizuri.

Msimu uliopita ndipo watu walipoona umuhimu wake na kipaji chake na kugundua kwamba ni winga wa kiwango cha juu sana. Akiwa na uwezo wa kukimbia na mpira kwenye wing ya kulia na kuachia mashuti yake  ya krosi kama risasi zikiwa zinawalenga Wayne Rooney pamoja na Javier Hernandez.

Winga huyo ambaye watu hudhani ni old fashion, hapendi sana kupiga chenga badala yake ni kukimbia na kutoa krosi, alifunga magoli 6 na kusababisha 13, huku ni David Silva pekee akiwa juu yake kwa kusababisha magoli 15 kwenye mechi nyingi.

Msimu ambao alifanya juhudi sana bila kuchoka na mashabiki wa Man United wakamzawadia "Mchezaji bora wa mwaka" na zawadi ya goli la msimu kwa goli alilofunga walipocheza dhidi ya Blackburn Rovers.

Udhaifu pekee ambao mashabiki wa Man United wanauona kwake ni kule kushindwa kwake kutumia mguu wa kushoto wakati wa mchezo. Japo alijaribu kupiga krosi kwa mguu wa kushoto pale walipopambana na Fulham.

Ni mchezaji ambaye kwa kweli anastahili kuwa hapo alipo leo. Valencia, mwenye miaka 27 sasa, ana uwezo bado wa kukuza soka lake na kuwa moja ya wachezaji wa kukumbukwa duniani. Hakuna maswali mengi sana juu ya hilo kwani sasa anavaa namba ya jezi iliyovaliwa na wachezi maarufu sana duniani.

Wewe unasemaje kuhusu Valencia?

Comments

Popular posts from this blog

Britney Spears' Busy Vegas Weekend With New Beau. Via abc News

Britney Spears keeps it busy in Sin City. The "Scream & Shout" singer spent last weekend in Las Vegas but she wouldn't have come at all if her much-discussed Vegas residency was not a "done deal," the Las Vegas Sun reported. With new boyfriend David Lucado in tow, Spears flew to Vegas Friday and checked into Caesars Palace, the Sun reported. She attended a charity Cirque du Soleil performance, sneaking in just as the curtain went up and leaving just before the show ended. Spearstweeted a photo of herself, Lucado and her manager, Larry Rudolph, smiling in their seats together. Spears' management and production team met with executives at Caesars Entertainment Saturday, which owns Planet Hollywood, and then checked out the PH Live theater, where Brit will have her residency. Spears, Lucado and her entourage then lunched at the Meatball Spot restaurant, owned by Top Chef Seattle contestant Carla Pellegrino. The couple chowed down on meatball s...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...

Jones With A Knee Surgery

Bleacher Report Writes: Manchester United defender Phil Jones is facing up to eight weeks on the sidelines after having surgery on a knee injury, the club has announced.   Jones, 20, has yet to make an appearance this season after hurting his back during pre-season and suffered this latest injury in training. "Phil Jones has had surgery on a knee meniscus tear sustained in training," said a United spokesman. "It will require six to eight weeks of rehabilitation." Jones, whose last competitive appearance for United was against Sunderland on the final day of last season, is understood to have suffered his latest injury in training earlier this week. The England international was sent for a scan on his right knee which has confirmed he requires an extensive period of rehabilitation. Jones was believed to be close to returning following back spasms when he damaged his knee. ...