Skip to main content

Arsenal Dhidi ya Chelsea Kesho

Muda muafaka wa kutazama kandanda safi la EPL umewadia hasa tukiitazama Arsenal hususan baada kuwa tayari wsalikutana na Manchester City na kuonesha kandanda safi sana. Sasa Arsenal watapambana kesho na Chelsea.

Huu ni mtihani mwingine kwa timu ya Arsenal na kocha wao Arsene Wenger. Chelsea wakiwa na wachezaji wao kama akina Eden Hazard, Oscar and Fernando Torres, wote wakiwa kwenye hali nzuri ya kimchezo na kiafya, sehemu ya ulinzi ya Arsenal itakuwa na wakati mgumu sana kuhakikisha hakuna madhara yatakayotokea.  

Hebu tuangalie jinsi hani Arsenal watapaswa kupambana kweli kweli illi wapate pointi 3. 
Nadhani watu wengi wamevutiwa na kiwango cha Carl Jenkinson aliyechukua nafasi  ya Bacary Sagna. Beki huyo wa kulia ameonesha maendeleo makubwa na mazuri. Alicheza vizuri pale walipopambana na Coventry katikati  ya wiki.

Walakini atakutana na changamoto nyingine tofauti kabisa dhidi ya Eden Hazard, ambaye amekuwa mchezaji mzuri sana kwwenye EPL, mwenye kuwasumbua sana walinzi kwenye ligi hiyo. 

Kama Jenkinson ataweza kuendelea na ubora wake wa kiwango chake cha hivi karibuni na kumpoteza kabisa Hazaed kwenye wing kama vile walivyofanya Stoke City wikiendi iliyopita itawawia vigumu sana Chelsea kupita kiurahisi.

Najua utapenda sana kufahamu ni nani atawekwa na Arsene Wenger kuanza kucheza kwenye wings. Msimu uliopita hata kusingekuwa na swali kama hili kwani ni dhahiri kwamba Theo Walcot angepewa nafasi ya wing ya kulia. Walakini najaribu kuwaza kwamba Wenger hitaji la mchezaji wake kuwa mshambuliaji, na kwa kuwa mkataba wa Walcot utaishia mwisho wa mwaka huu, anaweza kuwekwa kando ikli wengine wapate nafasi ya kung'ara.
 Replacements hizo zinawaweka wenye viwango vizuri kama Lukas Podolski, kushoto, Wenger anaweza kuwatumia akina Alex-Oxlade Chamberlain, Gervinho, Santi Cazorla au hata Aaron Ramsey kwa upande wa kulia. 

Arsenal wametapa ahueni kubwa baada ya kugundua kwamba John Terry kakutwa na hatia kwa ubaguzi wa rangi na chama cha FA na kufungiwa mechi nne. Hivyo kuwafanya David Luiz naGary Cahill kama chaguo pekee la beki wa katikati kwa timu ya Chelsea.  

Kwa Olivier Giroud, kama ataweza kutumia vizuri nafasi zake. Baada ya kuonekana kwenye mechi yao dhidi ya Coventry, sitashangaa endapo ataongeza kujiamini kwake.

Kwa kupambana na mlinzi kama Luiz ambaye hata hayuko kivile kwenye suala la ulinzi anaweza kutumia hiyo nafasi hasa ya umbo lake. 

Arsene Wenger sasa anakabiliwa na machagua mengi sana na inamuumiza kichwa kila wiki, ingawaje hilo ni zuri zaidi ya wale aliokuwa nao hapo awali. 
Akiwa na Thomas Vermaelen, Laurent Koscielny na Per Mertesacker wote wakiwa fit na hatari kweli kweli, hatuna uhakika nani atachemka kati yao. 


 

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

This is How Manchester City Won Easily Against Sunderland

The New York Times Reported that, Manchester City turned on the style Saturday, easing to a 3-0 victory over visiting Sunderland that lifted the team to second place in England’s Premier League Aleksandar Kolarov scored from a free kick after five minutes, and Sergio Agüero and James Milner added goals in the second half to secure a convincing win.  By ending Sunderland’s unbeaten start, City maintained its own and won consecutive league matches for the first time this season.  “We played very well and took no risks,” City Manager Roberto Mancini told Sky Sports television. The team rediscovered its defensive solidity even without its back-line linchpin and captain, Vincent Kompany, who was out with a calf injury.  Micah Richards made a surprise return from an ankle injury, and Joleon Lescott was also restored to the defense. Yaya Touré took over as captain, playing alongside Gareth Barry in the midfield, while Carlos Tévez and Mario...