Skip to main content

Hivi Nikisema Manchester United Hawamuhitaji Thiago Alcantara Kwa sababu Wanaye Tom Cleverley Utakataa?

Ingawaje ilionekana kuwa wana Old Trafford hao kumuwinda vilivyo Thiago Alcantara na mwishowe imeonekana kwamba wamegonga ukuta kwani vyombo vya nje vimekwisha ripoti kuwa upo uwezekano mkubwa sana wa Thiago kwenda kwa bwana Guardiola kule Ujerumani kwenye timu  ya Bayern Munich. 

Lakini kuna usemi unaosemwa na vyombo vingi vya habari kwamba Manchester United hawana haja ya kumsumbukia Thiago kwani Tom Cleverley ni mkali zaidi kati ya hawa wawili na  kwamba waache kupoteza muda kwani Tom anaweza kufanya yote wanayohitaji Thiago afanye. 


Wewe kama ni mshabiki wa Man United unasemaje juu ya hili. 

Je, Tom anawatosha ama waendelee kumsaka Thiago na kama watamkosa basi watafute mwingine badala  yake? 

Je wakifanya hivyo, kazi ya Cleverley itakuwa nini? 

Ama kukaa benchi? 

Lete maoni yako hapo chini tafadhali kabla hujaondoka kwenye site hii.

http://AbelKalamata.blogspot.com ni zaidi ya yote.

Comments

Abel RK said…
The Wayne Rooney saga has taken another turn.

After new Manchester United manager David Moyes insisted the club's longtime superstar wasn't for sale, a new report has surfaced claiming the forward is "angry and confused" by his treatment at Old Trafford.

Sky Sports reports Rooney isn't happy with his current placement within the club and is looking for an escape route before the transfer window closes. Sky reporter Kaveh Solhekol provided an update on the situation:

Rooney believes he is at the peak of his career and has no intention of becoming a squad rotation player or by playing second fiddle to anyone at Old Trafford.

He believes he has nothing left to prove after nine successful seasons - yet that is what is being suggested by reports in the media which have interpreted the club's statement as meaning he's currently on trial for the coming season.

Since he's returned from the pre-season tour due to injury, Rooney has been in touch with the club and spoken to David Moyes on the phone - he is angry and confused at the way he's been treated.

Also in the Sky Sports piece, Moyes made it clear work would be done to find the right role for Rooney within the squad, but he isn't going to let one player overshadow the entire club.

Manchester United isn't about Wayne Rooney. Manchester United is about the team - the club.

I won't allow Wayne Rooney to become more important than the football club and the football team, because that's the heart of it.

Premier League rivals Chelsea and Arsenal have been mentioned as potential landing spots for Rooney. It's said in the report that the England international would be open to moves to either club after returning home to rehab a hamstring injury.

It's the latest update on a situation that will probably change several more times before the transfer window closes. Just when it seemed like there was some stability involving Rooney and United, it's thrown into another tailspin.

When healthy, Rooney is still capable of being a high-impact player for the Red Devils. But if he's truly unhappy with his current status, the drama is going to outweigh his potential contributions. That's what Moyes is being forced to consider.

Regardless of the final decision, the best thing the two sides can do is figure it out in the very near future. The longer the saga drags on, the more of a distraction it will become for Manchester United as they prepare to defend the Premier League title.

Whether the quest will include Rooney remains up in the air.

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

Hawa Ndiyo Real Madrid Waliowafunga Man City Champions League Jana Usiku

Man City wakiwa wanaongo za kwa 2-1 dhidi ya Real Madrid huku zikiwa zimebaki dakika si zaidi  ya tatu walionekana kama ingekuwa ni timu ya tatu ya Uingereza kuifunga Madrid kwenye uwanja wa Bernabeu. Lakini vijana hao wa Mancini badala ya kuinza kampeni yao kwa ushindi walijikuta wakiachwa nyuma na kuwaangalia Madrid wakiibuka na ushindi baada ya Karim Benzema kusawazisha na kisha Cristiano Ronaldo kufunga goli la tatu na la ushindi, goli lililomfanya bosi wao Jose Mourinho kuslide uwanjani akishangilia goli hilo na Ronaldo. This was the real happiness now from Ronaldo BBC football pundit Robbie Savage alikuwa uwanjani huku Bernabeu. (quoting from BBC SPORTS) "Maicon was not at the races at all in the first half at right-back. He was a passenger and it was like City were playing with 10 men. Cristiano Ronaldo kept coming inside him. "In the second-half, Vincent Kompany looked at what was happening and came across to that wing more. Ronaldo did not...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...