Skip to main content

Muendelezo wa Habari Kuhusu Samuel Eto'o

Samuel Eto'o amepania kuwaonesha Chelsea na Jose Mourinho kwamba walikuwa sahihi kusitisha usajili wa Wayne Rooney.  




Mcameroon huyo ameachana na club yake ya Urusi ya  Anzhi Makhachkala na kutia saini kwa mkataba wa mwaka mmoja na kuungana tena na  Mourinho, ambaye alikuwa meneja wake walipokuwa Inter Milan.

Wayne Rooney, baada ya kupewa saa 48 na Mourinho ili atoe uamuzi, 
jibu lake lilikuwa 'No, nabaki United.'

Mourinho amekuwa akifuatilia mchezaji wa Manchester United Rooney, walakini baada ya kukataliwa mara mbili,  Chelsea waliamua kugeukia upande wa pili wa Samuel Eto'o. 

"Nilikuwa na nafasi kadhaa za kuja Uingereza hapo awali, pamoja na ile ya kwanza wakati Mourinho alipokuwa hapa, lakini haikuwezekana kwa sababu moja ama nyingine." Alisema  Eto'o katika mtandao wa chelseafc.com.


"Tangu wakati huo nimekuwa na kazi nzuri na mwenye bahati ya kushinda makombe mengi kwenye nchi tofauti tofauti, lakini moja ya ndoto zangu za mwisho kama mchezaji wa kulipwa ni kuja na kucheza Uingereza na kuona kama nitaweza kupata mafanikio kama niliyoyapata kwenye timu nyingine.  Nina furaha sana kuwepo hapa na natamani nianze kucheza mara moja."  Alieleza Eto'o.

Mchezaji huyo wa zamani wa Barcelona hajasafiri na Chelsea kwenye mchuano wa  European Super Cup dhidi ya  Bayern Munich - yeye wala  Willian, ambaye uhamisho wake toka  Anzhi ulithibitishwa siku ya Jumatano iliyopita.  

Eto'o atapaswa kusubiri hadi  international break ndipo aanze kuonekana uwanjani, watakapokuwa ugenini kupambana na  Everton  September 14. 

Uhamisho wake huo inaonekana usingefanyika endapo Mourinho angekubaliwa kumchukua Rooney.  

Mourinho alisema: "niliwaambia niliyopaswa kusema, nadhani niliweka wazi sana  hatukupeleka ombi la tatu, hatuna zaidi cha kusema, Rooney ni mchezaji wa Man United na hakuna cha ziada."I  

Kumpata  Eto'o, ambaye imelipotiwa kuwa alikuwa akilipwa  £300,000 kwa wiki huko Urusi, ni kinyume na taratibu za Chelsea za kusaini wachezaji vijana. Hali hii pia inaacha swali juu ya mustakabali wa Demba Ba and Fernando Torres kwani Mourinho ameweka wazi kwamba kuwa na washambuliaji wanne ni too much na kufunguka kwa kusema kuwa Romelu Lukaku ndiye tegemeo la badaye kwa Chelsea.  

Nafasi ya Ba kwenye kikosi hicho ipo hatarini, lakini Torres bado anahitaji kulipa  £50million kwa Liverpool, kama Mourihno alivyoweka wazi mapema wiki hii.  


Comments

Popular posts from this blog

Britney Spears' Busy Vegas Weekend With New Beau. Via abc News

Britney Spears keeps it busy in Sin City. The "Scream & Shout" singer spent last weekend in Las Vegas but she wouldn't have come at all if her much-discussed Vegas residency was not a "done deal," the Las Vegas Sun reported. With new boyfriend David Lucado in tow, Spears flew to Vegas Friday and checked into Caesars Palace, the Sun reported. She attended a charity Cirque du Soleil performance, sneaking in just as the curtain went up and leaving just before the show ended. Spearstweeted a photo of herself, Lucado and her manager, Larry Rudolph, smiling in their seats together. Spears' management and production team met with executives at Caesars Entertainment Saturday, which owns Planet Hollywood, and then checked out the PH Live theater, where Brit will have her residency. Spears, Lucado and her entourage then lunched at the Meatball Spot restaurant, owned by Top Chef Seattle contestant Carla Pellegrino. The couple chowed down on meatball s...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...

Alex Ferguson Confirms Rooney's Request to Move. Via b/r

Manchester United will already look different next season without its longtime manager, but there could be even more change if the most recognizable player also leaves town. According to Sky Sports (via  ESPN ),  Wayne Rooney  has asked for a transfer off the club following the season: Sir Alex Ferguson recently finished his final match at Old Trafford after  announcing his retirement  and came away with a 2-1 victory. However, Rooney was unused in the win and was not even available as a substitute. In the previous match against Chelsea, the forward did not come on until the 69th minute.   Rooney has seen his role diminish greatly this season thanks mostly to the addition of striker Robin van Persie from Arsenal. After finishing second in the league with 27 goals a year ago, Rooney only totaled 12 this season. Meanwhile, Van Persie currently leads the English Premier League and should finish on top for the second year in a row. The addit...