Skip to main content

Muendelezo wa Habari Kuhusu Samuel Eto'o

Samuel Eto'o amepania kuwaonesha Chelsea na Jose Mourinho kwamba walikuwa sahihi kusitisha usajili wa Wayne Rooney.  




Mcameroon huyo ameachana na club yake ya Urusi ya  Anzhi Makhachkala na kutia saini kwa mkataba wa mwaka mmoja na kuungana tena na  Mourinho, ambaye alikuwa meneja wake walipokuwa Inter Milan.

Wayne Rooney, baada ya kupewa saa 48 na Mourinho ili atoe uamuzi, 
jibu lake lilikuwa 'No, nabaki United.'

Mourinho amekuwa akifuatilia mchezaji wa Manchester United Rooney, walakini baada ya kukataliwa mara mbili,  Chelsea waliamua kugeukia upande wa pili wa Samuel Eto'o. 

"Nilikuwa na nafasi kadhaa za kuja Uingereza hapo awali, pamoja na ile ya kwanza wakati Mourinho alipokuwa hapa, lakini haikuwezekana kwa sababu moja ama nyingine." Alisema  Eto'o katika mtandao wa chelseafc.com.


"Tangu wakati huo nimekuwa na kazi nzuri na mwenye bahati ya kushinda makombe mengi kwenye nchi tofauti tofauti, lakini moja ya ndoto zangu za mwisho kama mchezaji wa kulipwa ni kuja na kucheza Uingereza na kuona kama nitaweza kupata mafanikio kama niliyoyapata kwenye timu nyingine.  Nina furaha sana kuwepo hapa na natamani nianze kucheza mara moja."  Alieleza Eto'o.

Mchezaji huyo wa zamani wa Barcelona hajasafiri na Chelsea kwenye mchuano wa  European Super Cup dhidi ya  Bayern Munich - yeye wala  Willian, ambaye uhamisho wake toka  Anzhi ulithibitishwa siku ya Jumatano iliyopita.  

Eto'o atapaswa kusubiri hadi  international break ndipo aanze kuonekana uwanjani, watakapokuwa ugenini kupambana na  Everton  September 14. 

Uhamisho wake huo inaonekana usingefanyika endapo Mourinho angekubaliwa kumchukua Rooney.  

Mourinho alisema: "niliwaambia niliyopaswa kusema, nadhani niliweka wazi sana  hatukupeleka ombi la tatu, hatuna zaidi cha kusema, Rooney ni mchezaji wa Man United na hakuna cha ziada."I  

Kumpata  Eto'o, ambaye imelipotiwa kuwa alikuwa akilipwa  £300,000 kwa wiki huko Urusi, ni kinyume na taratibu za Chelsea za kusaini wachezaji vijana. Hali hii pia inaacha swali juu ya mustakabali wa Demba Ba and Fernando Torres kwani Mourinho ameweka wazi kwamba kuwa na washambuliaji wanne ni too much na kufunguka kwa kusema kuwa Romelu Lukaku ndiye tegemeo la badaye kwa Chelsea.  

Nafasi ya Ba kwenye kikosi hicho ipo hatarini, lakini Torres bado anahitaji kulipa  £50million kwa Liverpool, kama Mourihno alivyoweka wazi mapema wiki hii.  


Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

The Happy Di Matteo..!

Roberto Di Matteo watched his attacking stars inspire a 5-4 extra-time victory over Manchester United and he preferred to savour a second night of high-scoring league cup thrills rather than focus on "the other stuff" in football. The Chelsea manager did not need to spell out what he meant, in the wake of the league fixture against United on Sunday, when his team's controversial 3-2 home defeat was followed by the allegation that the referee Mark Clattenburg had racially abused Mikel John Obi. There had also been spite in the stands. Di Matteo focused on the flair and spirit that his team had shown here, when they came from behind three times to force the extra period, with the substitute Eden Hazard scoring from the penalty spot with the very last kick of normal time. Hazard's quick feet and sumptuous reverse pass created what proved to be the decisive fifth goal late in extra-time for Ramires. "Over the last two days we have seen...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...