Skip to main content

Hatimaye Fellaini Atua United, Ozil Aenda Arsenal. Na stories nyingine nyingi.

Manchester United hatimaye wamekamilisha usajili wa Mchezaji toka Everton, Marouane Fellaini kwa donge la £27.5m. Inasemekana kwamba Fellaini mwenyewe ana furaha sana kujiunga na mashetani wekundu hao kutoka jiji la Manchester, na kwamba yupo tayari kufunga magoli mengi iwezekanavyo ili kulipa fadhila za kocha wake mpya David Moyes. 

 Haya ndiyo aliyoyaongea Fellaini mwenyewe kuhusu usajili wake:

'It’s a big moment for me,'I waited for a long time, I’ve worked hard for this and I’m very happy to join this great club. It’s the biggest club in the world… I tried everything to join. It’s been difficult, a very long day. I waited to the end… I know the situation, but this day has been very long. I hope I can score a lot of goals for Manchester United.When I was young it was a dream to play for Manchester United. Now I’m here so I’ll try to give my best to the club. I want to win trophies. That’s the most important thing.

Kwa mujibu wa meneja David Moyes, Fellaini atacheza sehemu ya kiungo na siyo nyuma ya Robin Van Persie kama wengi walivyotarajia.

Gareth Bale naye alikamilisha uhamisho wake toka Tottenham Hotspurs kwenda Real Madrid ya Hispania na kumnya acheze soka lake kwa karibu sana na Cristiano Ronaldo. Naye inasemekana amefurahi sana kupata ya kucheza na Ronaldo.                                                                                                                                
 Ozil naye hatimaye alikamilisha usajili wake na The Gunners wa London na sasa n mchezaji wa Arsenal.


Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

FT: TAIFA STARS 2 DRC 0. #SAMATTA NA #KICHUYA

FT:  TAIFA STARS 2, DRC THE LEOPOLDS 0 TAIFA stars leo wamewatoa watanzania kimasomaso baada ya kuwaadabisha The LEOPOLDS DRC kwa kuwaburuza kwa magoli 2-0 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopigwa kwenye dimba la Taifa jioni leo. Hadi kipindi cha kwanza kinaisha hakukuwa na timu yoyote iliyoona lango la mwenzake. Lakini kunako kipindi cha pili timu zote mbili zikicheza mpira wa umakini zaidi huku zikiviziana na kushambuliana kwa zamu ilishuhudiwa Mbwana Samatta akiandika bao la kwanza kwa Stars na huku dakika zikiyoyoma Shiza Kichuya akaipatia Stars goli la pili. Naweza kusema leo Stars wamecheza mpira wa kujituma na kujiamini na wenye akili na usikivu toka kwa kocha wao huku Yondani, Nyoni na Gadiel wakiongoza safu ya ulinzi yenye umakini sana; na Samatta,  Kichuya na Simon Msuva wakiisumbua vibaya sana lango la wakongoman. Kabla mechi ya leo,  Stars walipambana na Algeria na kuambulia kipigo cha 4-1 wakiwa ugenini. #Hongera #TaifaStars