Skip to main content

Liverpool 1 vs Man United 0; Arsenal 1 vs Spurs 0. As It Happened at CR PUB in Arusha

Hii ni jana majira ya kuanzia saa tisa hivi alasiri wakati wa mpambano mkali wa kukata na shoka kati ya Liverpool na Manchester United wa Premier League ya kule Uingereza. Ambapo Liverpool waliweza kuutumia uwanja wao wa nyumbani kwa kuwachabanga Man United 1-0. Goli ambalo lilifungwa na Sturidge kunako dakika ya 3 tu ya mchezo huo, na goli hilo kudumu hadi mwisho wa mchezo.

Hapa Arusha kumekuwa na msemo miongoni mwa washabiki wa Liverpool aka "You will never walk alone" kuwa goli linalofungwa na mshambuliaji wao machachari sana aliyesajiliwa msimu uliopita kutokea Chelsea Sturidge hua halisawazishwi na kwamba pindi anapofunga goli tu wana uwezo wa kumtoa golikipa wao ili goli libaki wazi kwani hakuna timu yenye uwezo wa kusawazisha goli lake. Msemo huo sasa ulitimia kwa mashabiki wa Man United ambao walidhani ni mzaha mzaha tu na kwamba wakati wowote timu yao ingesazisha bao hilo. lakini wapi.....! Basi hadi mwisho wa matanange huo Liverpool 1, Man United 0. Hongera kwa Liverpool...! It was a good soccer you showed with good winning spirit...!

Hapa chini nimekuwekea picha za mashabiki wa mechi za jana walipokuwa wakifuatilia mipambano hiyo kwenye club moja inayoonesha Ligi ya Uingereza kpitia DSTV... CR PUB-ARUSHA njia ya kwenda Moshono. 

 mashabiki wa Man United na Liverpool wakifuatilia mpambano 

 mashabiki wa Man United na Liverpool wakifuatilia mpambano 

Huyu ni mshabiki machachari sana wa Arsenal kwa jina ni Erasto Martin na jana alikuwa 
ni mwenye furaha sana baada ya timu yake kuwafunga Spurs 1-0. 

 Huyu ni mshabiki machachari sana wa Arsenal Erasto Martin 
akiwa amekaa na mshabiki wa Man United maarufu kama Munasiju mara baada ya
 United kufungwa na mechi yao kuisha

 Munasiju, shabiki nguli wa Man United akifwatilia mpambano

 Huyu hapa ni shabiki wa Liverpool akiwa amestarehe akiamini 
kwamba goli la Sturidge halirudishwagi.

Huyu ndiyo alikuwa kituko kabisa. Kwanza alikuwa kalewa, 
pili alikuwa anashabikia kwa nguvu zote timu yake ya Arsenal 
na kuwabeza Man United kwamba watakapo kutana nao wajiandae kwa kipigo kikali.

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...

Chelsea advances despite loss to Mohamed Salah of Basel

Chelsea qualified for the final 16 of the Champions League despite losing again to Basel. AC Milan and Arsenal won, but did not yet advance. Mohamed Salah's late goal Tuesday earned Basel a 1-0 win and a second straight Group E victory over the 2012 champions. But Chelsea is guaranteed a top-two finish after Schalke drew with Steaua Bucharest. Milan cruised past Celtic 3-0, but needs a point against Ajax in its last match after the Dutch side upset already qualified Barcelona 2-1 to keep alive its hopes. It was the first loss for Barca after a 25-game unbeaten streak dating back to last May's loss to Bayern Munich in the Champions League semifinals. Arsenal also requires another point after beating Marseille 2-0 in Group F. Napoli lost 3-1 to Borussia Dortmund to leave both teams three points behind the English side. Chelsea sailed through its group with three straight victories since opening with a 2-1 home loss to Basel. It knew a point would be...