Skip to main content

FURAHA YA ARGENTINA NA HUZUNI YA UHOLANZI HII HAPA KATIKA PICHA MARIDADI

Hii ni baada ya Argentina kushinda kwa penati 4-2 wakati kipa wao akiibuka shujaa kwa kupangua panati 2 za Uholanzi huku Louis Van Gaal akipuuzia kufanya sub ya kipa Tim Krul na kumuacha kipa wake namba one ambaye alionekana dhahiri kutokuwa mzoefu wa kucheza penati.














Comments