Skip to main content

Kama Kawaida http://abelrk.blogspot.com Inakuletea Matukio ya Mechi za jana FIFA World Cup Quarter Final. Hapa ni Brazil v Colombia.

Brazil 2 {{Thiago Silva na David Luiz}} v Colombia 1 {{James Rodriguez}}

Angalia haya ndiyo matukio ya mchezo wao wa jana ambapo Brazil walihakikisha kwamba sio tu wanajenga heshima toka kwa Colombia bali pia wanatinga fainali. Pia alithibitisha kwamba mapungufu yao kama yalivokuwa yakizungumzwa na wachambuzi wengi wa soko si kweli na kwamba wao hubadilika kutokana na mchezo.


 Alikuwa ni Thiago Silva aliyewaweka Brazil mbele baada
ya kuunganisha free-kick iliyochongwa kwa ufundi na Neymar JR


Ikumbukwe kuwa Brazil na Colombia walikutana jana katika World cup kwa  mara ya kwanza katika historia ya kombe la dunia. Colombia, timu ambayo inasifika sana kwa mchezo wa kasi na mashambulizi ya mara kwa mara wakiongongozwa na James Rdriguez ilikuwa ni timu ngumu sana kufungika lakini jana walikutana na kisiki Brazil ambao walijiimarisha sana hasa sehemu ya kiungo huku wakitumia vizuri sana wings zao ambazo zilikuwa zinapeleka mashambulizi mazuri, ya nguvu na ya mara kwa mara.



Baadaye akafwata David Luis aliyeipatia Brazil goli la pili baada ya
 kupiga mpira wa adhabu na kutinga moja kwa moja nyavuni huku kipa
wa Colombia akishindwa kabisa kuuzuia.

 David Luiz katika staili za kushangilia goli la ushindi

Baadaye Colombia walifanya mashambulizi ya kuua mtu na baada ya kipa wa Brazil kuona ameshapitwa basi hakuwa na jinsi zaidi ya kumfanyia madhambi mchezaji wa Colombia na Refa kuamuru ipigwe penati. Alikuwa si mwingi ba ni yule anayeongoza kwa kuwa na na magoli sita sasa kwenye fainali hizi James Rodriguez aliyepiga penati hiyo kwa ufundi na kuandika goli pekee kwa Colombia.


 Huu ndiyo umma wa wabrazil waliojitokeza kuhakikisha wanashangilia
hadi timu yao inaibukwa na ushindi.

 Huku shabiki huyu wa Colombia akilia baada ya timu yake
kupigwa 2-1 hapa chini mashabiki hawa wa Brazil wapenzi hawa
wakishangilia kwa mtindo wa pekee kwa busu la upendo kati yao na ule wa nchi yao.
Furaha iliyoje!

Baada ya hapo Colombia walijaribu kuhamia langoni mwa Brazil huku wakifanya mashambulizi ya hatari sana lakini bahati haikuwa yao kwani walinzi wa Brazil walijiimarisha kuhakikisha hakuna dakika za nyongeza zinaongezwa ili kumsaka mshindi.





 Colombia waliendelea kujaribu bahati yao bila mafanikio
 Rodriguez akiwa haamini kama matokeo ya mechi ni Brazil 2 v Colombia 1
 Hapa chini ndipo Neymar alipomalizwa kabisa baada ya kuchezewa
 madhambi mabaya sana huku refa akiamuru mchezo uendelee
 akiwapa Brazil advantage kwani walikuwa na mpira bado. Neymar
alipigwa kwa goti sehemu yake ya mgongo na kumfanya ashindwe
 kuinuka kabisa na hatimaye kupelekwa nje kwa machela.

 Picha ya chini jamaa wa Colombia akipachika bao wakati mchezaji
mwenzake akiwa ameotea na goli lake lilikataliwa na refa.

Moja ya matukio ya kusikitisha sana kwa Brazil ni kuumia kwa Neymar JR ambapo kutamfanya azikose mechi zilizo salia za nusu fainali na ile ya fainali endapo watamfunga Germany. Angalia picha hapo chini.








Brazil watakutana na Germany katika mechi yao ya nusu fainali. Je, kwa mtazamo wako, Brazil watatoka kwa Germany? Usisite kutoa maoni yako tafadhali.


Comments

Popular posts from this blog

Britney Spears' Busy Vegas Weekend With New Beau. Via abc News

Britney Spears keeps it busy in Sin City. The "Scream & Shout" singer spent last weekend in Las Vegas but she wouldn't have come at all if her much-discussed Vegas residency was not a "done deal," the Las Vegas Sun reported. With new boyfriend David Lucado in tow, Spears flew to Vegas Friday and checked into Caesars Palace, the Sun reported. She attended a charity Cirque du Soleil performance, sneaking in just as the curtain went up and leaving just before the show ended. Spearstweeted a photo of herself, Lucado and her manager, Larry Rudolph, smiling in their seats together. Spears' management and production team met with executives at Caesars Entertainment Saturday, which owns Planet Hollywood, and then checked out the PH Live theater, where Brit will have her residency. Spears, Lucado and her entourage then lunched at the Meatball Spot restaurant, owned by Top Chef Seattle contestant Carla Pellegrino. The couple chowed down on meatball s...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...

Jones With A Knee Surgery

Bleacher Report Writes: Manchester United defender Phil Jones is facing up to eight weeks on the sidelines after having surgery on a knee injury, the club has announced.   Jones, 20, has yet to make an appearance this season after hurting his back during pre-season and suffered this latest injury in training. "Phil Jones has had surgery on a knee meniscus tear sustained in training," said a United spokesman. "It will require six to eight weeks of rehabilitation." Jones, whose last competitive appearance for United was against Sunderland on the final day of last season, is understood to have suffered his latest injury in training earlier this week. The England international was sent for a scan on his right knee which has confirmed he requires an extensive period of rehabilitation. Jones was believed to be close to returning following back spasms when he damaged his knee. ...