Skip to main content

Kama Kawaida http://abelrk.blogspot.com inakuletea Matukio ya FIFA World Cup Quarter Final kati ya German v France.

German 1 (Hummels) v France 0

Katika mchezo ambao ulikuwa mgumu sana kutabiri kwamba nani angeibuka kidedea Ujerumani walijidhatiti vilivyo na kufanikiwa kuwazima Ufaransa mapema sana na baadaye kulishikilia goli lao hilo hata mwisho wa mpambano.
 
Ilimbidi kipa wa Ufaransa kuudaka mpira ukiwa tayari umeshatinga nyavuni.

Pamoja na kwamba Ufaransa walijitahidi sana kulishambulia goli la Ujerumani mara kwa mara wakitafuta goli angalao la kusawazisha huku wakimtumia mshambuliaji wao hatari sana Benzema lakini walinzi wa Ujerumani walikuwa imara sana wakiongozwa na golikipa waoa mbaye hakutaka kabisa mchezo ama utani langoni mwake. Hivyo mwisho wa dakika 90, Ujerumani 1 v Ufaransa 0.


 Wachezaji wa Ujerumani wakishangili goli lao lililopachikwa nyavyni na Mats Hummels

Ujerumani wametinga nusu fainali ambapo watakuwa na kibarua kikali pale watakapo pepetana na Brazil ambao waliwapelekeha mchakamchaka Colombia na kuwafurumusha nje ya mashindano kwa ushindi wa 2-1.

 Benzema alijaribu mara kadhaa kutaka kuisawazishia
timu yake basi hata waende dakika 120 lakini hali ilizidi kuwa
 tete kwa Ufaransa. Basi akawa hana namna zaidi ya kuyapokea
matokeo kwa mikono miwili na bila hiyana.
 Hali si hali..... Unaambiwa hali ni tete....
Huwezi amini jamaa wanakubali matokeo na kwenda kufungasha
 virago kurudi home ama kitaa.
 Pogba naye alijaribu kila liwezekanalo kama ilivyo kawaida
 yake lakini wapi. Hali haikuwa hali kwa upande wao.
Wakasalimu amri na kuwa wateja wa Ujerumani.
Wachezaji wa Ufaransa wakafanya kama wengine ambavyo wangefanya,
nayo ni Kujifariji na kufarijiana wao kwa wao. Kwani wahenga walinena,
'asiyekubali kushindwa si mshindani.'
 
 
Ujerumani sasa watavaana na Brazil katika hatua ya nusu fainali. Je, watatoka kwa wazee wa SAMBA?

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

The Happy Di Matteo..!

Roberto Di Matteo watched his attacking stars inspire a 5-4 extra-time victory over Manchester United and he preferred to savour a second night of high-scoring league cup thrills rather than focus on "the other stuff" in football. The Chelsea manager did not need to spell out what he meant, in the wake of the league fixture against United on Sunday, when his team's controversial 3-2 home defeat was followed by the allegation that the referee Mark Clattenburg had racially abused Mikel John Obi. There had also been spite in the stands. Di Matteo focused on the flair and spirit that his team had shown here, when they came from behind three times to force the extra period, with the substitute Eden Hazard scoring from the penalty spot with the very last kick of normal time. Hazard's quick feet and sumptuous reverse pass created what proved to be the decisive fifth goal late in extra-time for Ramires. "Over the last two days we have seen...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...