Skip to main content

Kama Kawaida http://abelrk.blogspot.com inakuletea Matukio ya FIFA World Cup Quarter Final kati ya German v France.

German 1 (Hummels) v France 0

Katika mchezo ambao ulikuwa mgumu sana kutabiri kwamba nani angeibuka kidedea Ujerumani walijidhatiti vilivyo na kufanikiwa kuwazima Ufaransa mapema sana na baadaye kulishikilia goli lao hilo hata mwisho wa mpambano.
 
Ilimbidi kipa wa Ufaransa kuudaka mpira ukiwa tayari umeshatinga nyavuni.

Pamoja na kwamba Ufaransa walijitahidi sana kulishambulia goli la Ujerumani mara kwa mara wakitafuta goli angalao la kusawazisha huku wakimtumia mshambuliaji wao hatari sana Benzema lakini walinzi wa Ujerumani walikuwa imara sana wakiongozwa na golikipa waoa mbaye hakutaka kabisa mchezo ama utani langoni mwake. Hivyo mwisho wa dakika 90, Ujerumani 1 v Ufaransa 0.


 Wachezaji wa Ujerumani wakishangili goli lao lililopachikwa nyavyni na Mats Hummels

Ujerumani wametinga nusu fainali ambapo watakuwa na kibarua kikali pale watakapo pepetana na Brazil ambao waliwapelekeha mchakamchaka Colombia na kuwafurumusha nje ya mashindano kwa ushindi wa 2-1.

 Benzema alijaribu mara kadhaa kutaka kuisawazishia
timu yake basi hata waende dakika 120 lakini hali ilizidi kuwa
 tete kwa Ufaransa. Basi akawa hana namna zaidi ya kuyapokea
matokeo kwa mikono miwili na bila hiyana.
 Hali si hali..... Unaambiwa hali ni tete....
Huwezi amini jamaa wanakubali matokeo na kwenda kufungasha
 virago kurudi home ama kitaa.
 Pogba naye alijaribu kila liwezekanalo kama ilivyo kawaida
 yake lakini wapi. Hali haikuwa hali kwa upande wao.
Wakasalimu amri na kuwa wateja wa Ujerumani.
Wachezaji wa Ufaransa wakafanya kama wengine ambavyo wangefanya,
nayo ni Kujifariji na kufarijiana wao kwa wao. Kwani wahenga walinena,
'asiyekubali kushindwa si mshindani.'
 
 
Ujerumani sasa watavaana na Brazil katika hatua ya nusu fainali. Je, watatoka kwa wazee wa SAMBA?

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

This is How Manchester City Won Easily Against Sunderland

The New York Times Reported that, Manchester City turned on the style Saturday, easing to a 3-0 victory over visiting Sunderland that lifted the team to second place in England’s Premier League Aleksandar Kolarov scored from a free kick after five minutes, and Sergio Agüero and James Milner added goals in the second half to secure a convincing win.  By ending Sunderland’s unbeaten start, City maintained its own and won consecutive league matches for the first time this season.  “We played very well and took no risks,” City Manager Roberto Mancini told Sky Sports television. The team rediscovered its defensive solidity even without its back-line linchpin and captain, Vincent Kompany, who was out with a calf injury.  Micah Richards made a surprise return from an ankle injury, and Joleon Lescott was also restored to the defense. Yaya Touré took over as captain, playing alongside Gareth Barry in the midfield, while Carlos Tévez and Mario...