Skip to main content

Manchester United Bado Kushinda Game! Barnley 0-0 United

Kwa mara nyingine tena Mashetani wekundu toka jiji la Manchester wameshindwa kutamba leo katika mechi yao wakiwa ugenini dhidi ya Barnley baada ya kulazimisha gari sare tasa yaani bila bila.

Kila mtu alidhani United wangepata ushindi wao wa kwanza katika ligi. Lakini pamoja na kujaribu sana kuutawala mchezo bado safu ya ushambuliaji ilibaki kuwa butu. Safu hiyo ikiongozwa na Van Persie, Rooney, Mata na Di Maria ilishindwa kabisa kabisa kufikisha mpira kwenye nyavu ya wapinzani wao.

Di Maria alijaribu sana kuonesh makeke hasa ale alipotoa Pande safi sana kwa Van Persie ambaye aliachia shuti safi lakini lilikataliwa na kipa wa Barnley.

Valencia ndiye mchezaji aliyepata mipara Mingi sana lakini alikosa ubunifu wa kupiga krosi au kuto assist ambazo zingezaa matuda.

Young naye vilevile hapo alijaribu kupenya Mara kadhaa lakini pia ubunifu haukuwa kichwani mwake.

Rooney na Van Persie walionekana wazito sana kwenye kufanya maamuzi na kuwa wachezaji wa kawaida na wenye kukabika kiurahisi sana.
Ni Barnley ndo waliofanya mashambulizi ya hatari huku shuti moja likigonga mwamba wa juu na lingine likipangulia na kipa De Gea.

Evans ni beki ambaye alikuwa na makosa mengi sana katika safu ya ulinzi. Kidogo aigharimu timu yake pale aliporudisha mpira dhaifu kwa De Gea ambao kidogo unaswe na adui lakini umahiri wa De Gea aliyetokea haraka na kuklia hatari ile.

United walikuwa wapate penati katika kipindi cha pili baada ya shuti LA Young kutua mikononi kwa beki wa Barnley lakini refa aligoma kutoa penati.

Januzay, Anderson na Welbeck waliingia baada ya Van Gaal kuwatoa Van Persie, Di Maria.

Nini mwisho wa United kwenye huu msimu?

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

Hawa Ndiyo Real Madrid Waliowafunga Man City Champions League Jana Usiku

Man City wakiwa wanaongo za kwa 2-1 dhidi ya Real Madrid huku zikiwa zimebaki dakika si zaidi  ya tatu walionekana kama ingekuwa ni timu ya tatu ya Uingereza kuifunga Madrid kwenye uwanja wa Bernabeu. Lakini vijana hao wa Mancini badala ya kuinza kampeni yao kwa ushindi walijikuta wakiachwa nyuma na kuwaangalia Madrid wakiibuka na ushindi baada ya Karim Benzema kusawazisha na kisha Cristiano Ronaldo kufunga goli la tatu na la ushindi, goli lililomfanya bosi wao Jose Mourinho kuslide uwanjani akishangilia goli hilo na Ronaldo. This was the real happiness now from Ronaldo BBC football pundit Robbie Savage alikuwa uwanjani huku Bernabeu. (quoting from BBC SPORTS) "Maicon was not at the races at all in the first half at right-back. He was a passenger and it was like City were playing with 10 men. Cristiano Ronaldo kept coming inside him. "In the second-half, Vincent Kompany looked at what was happening and came across to that wing more. Ronaldo did not...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...