Hayo yalitokea baada ya nyota Frank Lampard kuifungia timu yake mpya ya Manchester City bao la kusawazisha dhidi ya timu yake ya zamani Chelsea wakati miamba hiyo ilipovaana katika mpambano mkali wa Premier League mule Uingereza siku ya Jumapili iliyopita.
Lampard akicheza kwa mara ya kwanza dhidi ya timu aliyoichezea kwa takribani miaka kumi na tatu, alifunga bao hilo zikiwa zimesalia dakika chache sana mpira uishe. Huku goli la Chelsea likikwamishwa na Andre Schurrle katika dakika ya sabini.
Lampard alishangiliwa na mashabiki baada ya mechi maisha hasa wale wa Chelsea lakini Mourinho alionekana kununa pale alipoulizwa kuhusu mapenzi ya Lampard kwa Chelsea.
"Lampard ni mchezaji wa Manchester City, alipoamua kwenda kwenda timu pinzani basi swala la mapenzi limeishia hapo. Kumwongelea Frank ni kuongelea maisha yangu ya zamani na Frank." Hayo baadhi tu ya maneno aliyobwabwaja Mourinho siku hiyo.
25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...
Comments