Hayo yalitokea baada ya nyota Frank Lampard kuifungia timu yake mpya ya Manchester City bao la kusawazisha dhidi ya timu yake ya zamani Chelsea wakati miamba hiyo ilipovaana katika mpambano mkali wa Premier League mule Uingereza siku ya Jumapili iliyopita.
Lampard akicheza kwa mara ya kwanza dhidi ya timu aliyoichezea kwa takribani miaka kumi na tatu, alifunga bao hilo zikiwa zimesalia dakika chache sana mpira uishe. Huku goli la Chelsea likikwamishwa na Andre Schurrle katika dakika ya sabini.
Lampard alishangiliwa na mashabiki baada ya mechi maisha hasa wale wa Chelsea lakini Mourinho alionekana kununa pale alipoulizwa kuhusu mapenzi ya Lampard kwa Chelsea.
"Lampard ni mchezaji wa Manchester City, alipoamua kwenda kwenda timu pinzani basi swala la mapenzi limeishia hapo. Kumwongelea Frank ni kuongelea maisha yangu ya zamani na Frank." Hayo baadhi tu ya maneno aliyobwabwaja Mourinho siku hiyo.
Britney Spears keeps it busy in Sin City. The "Scream & Shout" singer spent last weekend in Las Vegas but she wouldn't have come at all if her much-discussed Vegas residency was not a "done deal," the Las Vegas Sun reported. With new boyfriend David Lucado in tow, Spears flew to Vegas Friday and checked into Caesars Palace, the Sun reported. She attended a charity Cirque du Soleil performance, sneaking in just as the curtain went up and leaving just before the show ended. Spearstweeted a photo of herself, Lucado and her manager, Larry Rudolph, smiling in their seats together. Spears' management and production team met with executives at Caesars Entertainment Saturday, which owns Planet Hollywood, and then checked out the PH Live theater, where Brit will have her residency. Spears, Lucado and her entourage then lunched at the Meatball Spot restaurant, owned by Top Chef Seattle contestant Carla Pellegrino. The couple chowed down on meatball s...
Comments