Skip to main content

Lowasa Aweka Rekodi ya Umati wa Watu Sheikh Amri Abeid Arusha

Hatimaye Mh Edward Ngoyai Lowasa ametangaza kuwania urais kwa tikiti ya chama tawala cha CCM mbele ya umati wa wakazi wa jiji LA Arusha uliokusanyika kumsikiliza.

Watu walianza kukusanyika uwanjani hapo mapema sana asubuhi wakisubiri mzee huyo kwa hamu kusikia akitangaza azma yake hiyo huku wakitumbuzwa kwa burudani nyingi toka kwa wasanii mbalimbali wa kitanzania.

Unaweza kushuhudia mwenyewe kupitia picha hizo jinsi watanzania walivoitikia wito wake kufika uwanjani hapo wakiwemo waandishi wa Habari, wasanii mbalimbali, wachungaji, mashehe, maaskofu, manabii na mitume, viongozi mbalimbali wa CCM toka mikoa mingine akiwemo mwenyekiti wa CCM Geita anayejulikana kwa jina la MSUKUMA ambaye alitua uwanjani hapo kwa helikopta akitokea Geita.

Wananchi walionesha kuvutiwa na kuipenda sana kauli aliyoitoa ya ''Maamuzi Magumu'' kwani kila alipotamka hivo tu umati ulipiga shangwe na mayowe kushangilia. Kauli ya pili iliyopendwa sana ni ili kauli mbiu yake ya mbio za urais inayosema ''Safari ya Matumaini, Inaanza Leo''. Na imekwishaanza tangu Jana tarehe 30/05/2015. Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki wagombea, Mungu tuchagulie kiongozi shupavu na anayeipenda nchi yetu. Amina!

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?

Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champions League hopes alive. The Bleacher Report wrote. Rooney said all this after Joe Hart showed a very wonderful play when his team met Dortmund yesterday. According to Bleacher Report , the Manchester United striker was quick to praise City 's No 1 - also his England team-mate - after Hart produced a series of world-class saves in a pulsating 1-1 draw with Borussia Dortmund at the Etihad Stadium. Although City also created a number of chances, Hart's performance kept them in the contest before Mario Balotelli snatched a first point in Group D with a contentious last-minute penalty. Hart denied the German champions on eight occasions and Rooney - whose club manager Sir Alex Ferguson was in the crowd - was one of many observers hugely impressed. Hart could do little to prevent Dortmund taking the lead jus...