Skip to main content

Porfessor Jay Kidedea Jimbo la Mikumi

Mkali, mkongwe na Lejendari wa muziki aina ya hiphop Joseph Haule alimaarufu kama Professor Jay ameibuka kidedea katika uchaguzi wa jimbo la Mikumi kupitia tikiti ya Chadema-Ukawa.
Mh. Joseph Haule alimaarufu kama Professor Jay

Mwimbaji huyo wa kufokafoka, ambaye hadi sasa ana albamu tano, alimdunda mpinzani wake kwa kishindo sana katika uchaguzi uliofanyika Jumapili 26 Oktoba 2015 . 

"Siko hapa kwa ajili ya kuwaongelea wasanii tu bali na watu wa Mikumi pia. Baada ya hili natarajia kuteuliwa na serikali kuwawakilisha watu wangu vizuri zaidi. . . labda katika nafasi ya uwaziri ama kitu kingine. Kwa hiyo nitakuwa mwanamuziki wa kufokafoka wa kwanza kuwa waziri Afrika Mashariki. Jay aliwaambia wana habari baada ya ushindi wake kutangazwa.

Jay alipata kura 32,259 dhidi ya 30,425 za mpinzani wake wa CCM Jonas Nkya.
"Tumeshinda kwa tofauti ya kura 1,834 . Asante Mungu na watu wa Mikumi kwa kuniamini," Alitupia hiyo kwenye mtandao wake wa kijamii kuthibitisha ushindi wake.  

Jay alianza muziki mwaka 1994 akiwa kama mwanachama wa kundi la Hard Blasters, kabla ya kuamua kuwa solo artist 2001. Baadhi ya nyimbo zake maarufu ni kama vile Nikusaidiaje and Zali la Mentali.

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

This is How Manchester City Won Easily Against Sunderland

The New York Times Reported that, Manchester City turned on the style Saturday, easing to a 3-0 victory over visiting Sunderland that lifted the team to second place in England’s Premier League Aleksandar Kolarov scored from a free kick after five minutes, and Sergio Agüero and James Milner added goals in the second half to secure a convincing win.  By ending Sunderland’s unbeaten start, City maintained its own and won consecutive league matches for the first time this season.  “We played very well and took no risks,” City Manager Roberto Mancini told Sky Sports television. The team rediscovered its defensive solidity even without its back-line linchpin and captain, Vincent Kompany, who was out with a calf injury.  Micah Richards made a surprise return from an ankle injury, and Joleon Lescott was also restored to the defense. Yaya Touré took over as captain, playing alongside Gareth Barry in the midfield, while Carlos Tévez and Mario...