Skip to main content

Wingu Zito Lafunika Uchaguzi Tanzania!

Uchaguzi wa Tanzania uliingia mashakani siku ya Jumatano tarehe 28/10/2015baada ya tume ya uchaguzi Zanzibar kutangaza kwamba uchaguzi huo ulivurugwa.

 Bwana Seif Sharif Hamad wa CUF anayedaiwa kujitangaza kushinda urais visiwani Zanzibar

Upande wa upinzani pia wamepinga utangazaji wa matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika siku ya Jumapili 25/10/2015 ambao umeshuhudiwa CCM wakipata upinzani mkali sana katika historia ya uchaguzi hapa Tanzania. 

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ilsema siku ya Jumatano kuwa uchaguzi uliofanyika Visiwani humo ambao ulikuwa na wapiga kura wapatao laki tano walioandikishwa waliopigia kura serikali ya Zanzibar na ilie ya Muungano kuwa ni lazima urudiwe wakidai kuwa uchaguzi ulivurugwa. 

"Utaratibu haukuwa wa haki na sheria zilivunjwa . . . hivyo natangaza kwamba matokeo yote kuwa batili," alisema mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar Bwana Jecha Salim Jecha said.

Siku ya Jumatatu kiongozi wa upinzani katika mbio za urais kwa Zanzibar Seif Sharif Hamad alijitangaza kuwa mshindi kabla ya tangazo rasmi la tume. 

Katika majimbo 264, 133 yameshatangazwa matokeo yake huku Hohn Pombe Magufuli wa CCM akiwa  ameshinda kwa asilimia 56.51 ya kura na Edward Lowassa wa Chadema akipata asilimia 41.67 ya kura, tume ya taifa ya uchaguzi iltangaza siku ya Jumanne.

Lakini wakati CCM wakiwa mbele kwenye mbo hizo za urais, mawaziri vigogo wamepoteza viti vya ubunge. 

Ulinzi ulitawala Zanzibar hasa maeneo ta kutangazia matokeo baada ya Sif Sharif Hamad wa CUF alipotoa onyo kuwa "asingekubali kushindwa iwapo angeibiwa kura." 

Wachambuzi na waangalizi wa uchaguzi wameonya kuwa upinzani mkali ulipo kwa sasa unaweza kusababisha ghasia, huku wapinzani kwa mara ya kwanza wakito upinzani mkali kwa CCM haijawahi kutokea tanga kuanzishwa kwa demokrasia mwaka 1995. 

Watazamaji wa kimataifa wa uchaguzi nchini Tanzania waliusifu mfumo wa upigaji kura siku ya Jumapili. "Ingawaje kulikuwa na matatizo madogo madogo kwenye baadhi ya vituo, lakini picha ya jumla inaonesha kila mtu alipata nafasi ya kupiga kura kwa uhuru na kwenye mazingira mazuri na ya amani," alisema Judith Sargentini, ambaye ni European Union election observer chief,

Mkuu wa waangalizi wa African Union Commission chief Nkosazana Dlamini-Zuma naye ameisifu Tanzania kwa jinsi walivyoendesha zoezi zima la uchaguzi, lakini pia aliwaonya wagombea "kuweka nchi yao mbele ya mambo mengine yote". Rais anayemaliza muda wake Dr. Jakaya Kikwete ameiomba polisi kutia nguvu katika suala la ulinzi kuhakikisha utulivu unakuwepo. 

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

This is How Manchester City Won Easily Against Sunderland

The New York Times Reported that, Manchester City turned on the style Saturday, easing to a 3-0 victory over visiting Sunderland that lifted the team to second place in England’s Premier League Aleksandar Kolarov scored from a free kick after five minutes, and Sergio Agüero and James Milner added goals in the second half to secure a convincing win.  By ending Sunderland’s unbeaten start, City maintained its own and won consecutive league matches for the first time this season.  “We played very well and took no risks,” City Manager Roberto Mancini told Sky Sports television. The team rediscovered its defensive solidity even without its back-line linchpin and captain, Vincent Kompany, who was out with a calf injury.  Micah Richards made a surprise return from an ankle injury, and Joleon Lescott was also restored to the defense. Yaya Touré took over as captain, playing alongside Gareth Barry in the midfield, while Carlos Tévez and Mario...