Hivi sasa baadhi ya marais wa nchi mbalimbali wameanza kusifia jihudi, maarifa na kasi ya rais wa awamu ya tano ya Tanzania Dr. John Pombe Magufuli.
JPM tangu aingie madarakani takribani mwezi mmoja amekuwa akifanya juhudi za dhati za kuikomboa nchi toka kwa mapapa ya ufusadi akianzia wizara ya fedha, bandari, TRA na sehemu nyingine akiwawajibisha wala rushwa, wakwepa kodi na wahujumu uchumi wa nchi huku wengine vibarua vyao vikiota nyasi na wengine hata kupelekwa mahakamani kujibu mashtaka.
JPM alionekana leo ktk mtaa wa feri DSM akifanya usafi na majirani zake akitii amri aliyoitangaza mwenyewe ya kuwa maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika ya 9 Disemba yasiwe na sherehe na badala yake siku hiyo iadhimishwe kwa kufanya usafi ili kutokomeza magonjwa yanayolitia taifa aibu hususan kipindupindu.
Watanzania wengi kila mji wametii amri kwa furaha na kutoka tangu asubuhi wakifanya usafi. Wengi wameonekana kufurahia uamuzi wa mh JPM wa kutokuwa na sherehe za uhuru na kuifanya serikali kutunza kiasi kikubwa cha fedha ambazo zitatumika kutoa huduma ktk jamii wa watanzania.
Baadhi ya vijana waliokuwa na mh JPM walisikika wakiimba "Rais wa wanyonge" wakati JPM akifanya usafi.
Je, unaionaje kasi ya JPM na serikali yake ya awamu ya tano... je aendelee bila mawaziri?
25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...
Comments