Skip to main content

Fahamu kwa Ufupi Historia za Manchester United na Leicester City kuhusu Ushiriki wao wa Community Shield aka Ngao ya Hisani

Leicester City

  • Hii ni mara ya kwanza kwa Leicester City kuonekana katika mashindano haya ya Community Shield tangu mwaka 1971, ambapo waliwafunga Liverpool 1-0 kwenye uwanja wa Filbert Street, wakati walipokuwsa washindi wa Second Division ambayo kwa sasa inajulikana kama Championship.
  • Safari ya mwisho ya Leicester ya Wembley walijishuhudia wakishinda League Cup  February mwaka 2000 , wakiwafunga Tranmere 2-1.
  • Wameshinda mara tatu na droo moja katika uwanja wa  Wembley. Walidroo 1-1 katika League Cup final dhidi ya Middlesbrough mwaka 1997 kabla ya kushinda mechi ya marudiano huko before Hillsborough).
  • Na hii ni mara ya kwanza kwa Claudio Ranieri kuwa kocha kwa timu inayocheza uwanja wa Wembley Stadium.
  • Vardy amefunga mara moja na kutoa assist moja katika mechi tatu alizochezea England katika uwanja wa  Wembley.

Manchester United

  • Hii itakuwa ni mara ya 30 kwa Manchester United kuonekana katika Community Shield. Wakiwa wameshinda kombe hili mara 20 hey've won the trophy on 20 (16 outright wins and four shared titles).
  • United wamesinda Community Shield mara tano katika ushiriki wao wa mara sita katika miaka ya (2007, 2008, 2010, 2011, 2013).
  • Pia wameshinda mechi zao nne za mwisho pale Wembley  tangu walipopoteza Champions League final dhidi ya Barcelona mwaka 2011.
  • Jose Mourinho ameshindwa kushinda Community Shield mara tatu katika mechi zake nne akiwa manager wa Chelsea , ikiwemo mechi ya msimu ulopita dhidi ya Arsenal huku mechi nyingine kati ya tatu alizopoteza akifungwa kwa penati na Manchester United mwaka 2007.
  • Manchester United wamepoteza mara moja tu katika mashindano yao yote ya mechi 15 waliyokutanana Leicester, ingawaje hii inabaki kuwa kumbukumbu ya ushindi mzuri kwa Leicester City ya 5-3 September 2014 (W11 D3).
  • Zlatan Ibrahimovic amecheza katika uwanja wa Wembley mara moja, wakati Sweden walipochapwa 1-0 na England November 2011.
  • Natumaini umeifurahia post hii. Asante

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

The Happy Di Matteo..!

Roberto Di Matteo watched his attacking stars inspire a 5-4 extra-time victory over Manchester United and he preferred to savour a second night of high-scoring league cup thrills rather than focus on "the other stuff" in football. The Chelsea manager did not need to spell out what he meant, in the wake of the league fixture against United on Sunday, when his team's controversial 3-2 home defeat was followed by the allegation that the referee Mark Clattenburg had racially abused Mikel John Obi. There had also been spite in the stands. Di Matteo focused on the flair and spirit that his team had shown here, when they came from behind three times to force the extra period, with the substitute Eden Hazard scoring from the penalty spot with the very last kick of normal time. Hazard's quick feet and sumptuous reverse pass created what proved to be the decisive fifth goal late in extra-time for Ramires. "Over the last two days we have seen...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...