Skip to main content

Jose Mourihno Adokeza Kuwasili kwa Pogba

Jose Mourinho amedokeza kuwa uhamisho wa Paul Pogba kutoka Juventus kwenda Manchester United uko karibu kukamilika.  

Akiongea kuelekea mpambano wa Community Shield dhidi ya Leicester City, manager wa United amethibitisha kuwa alikuwa akitarajia mchezaji mwingine zaidi kuwasili Old Trafford kabla ya Agosti 14.  
Ingawaje alisema hapendeleai kuongelea habari za wachezaji wa timu nyingine, lakini alisema amepungukiwa na mchezaji mmoja kwani timu  yake ya kwanza yaani first squad anataka iwe na wachezaji 23 jumlisha makipa watatu.  "We have 22 and we are going to have 23," Mourinho told a news conference. "We are going to get a very good midfielder," he added.
"Paul Pogba ni mchezaji wa Juventus hadi pale atakapokoma kuwa hivyo rasmi, hivyo tunabaki hivyo.'' Alisema Mourihno.
Mourinho alisema pia kuwa anatarajia kuutumia mchezo wa Jumapili kutoa nafasi ya kutosha kwa wachezaji wake. s 
"Tunaweza kufanya mabadiliko ya wachezaji mara sita badala ya tatu, hivyo hiyo inatoa muda kwao.'' Alisema. 
"Pia inanipa nafasi ya kuchezesha wachezaji ambao najua hawawezi kucheza dakika 90, kwani hawawezi kucheza dakika 90. Na tutajaribu kushinda mechi hiyo.'' 
Leicester manager Claudio Ranieri apia alisema anatarajia mchezo kuwa wa ushindani. l 
"Tutatoa ushindani wa kutosha kama wao ''Manchester United'', itakuwa ni mechi ya nguvu sana.'' Alisema Ranieri ambaye itakuwa ni mara yake ya kwanza kama manager katika uwanja wa Wembley.

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

Hawa Ndiyo Real Madrid Waliowafunga Man City Champions League Jana Usiku

Man City wakiwa wanaongo za kwa 2-1 dhidi ya Real Madrid huku zikiwa zimebaki dakika si zaidi  ya tatu walionekana kama ingekuwa ni timu ya tatu ya Uingereza kuifunga Madrid kwenye uwanja wa Bernabeu. Lakini vijana hao wa Mancini badala ya kuinza kampeni yao kwa ushindi walijikuta wakiachwa nyuma na kuwaangalia Madrid wakiibuka na ushindi baada ya Karim Benzema kusawazisha na kisha Cristiano Ronaldo kufunga goli la tatu na la ushindi, goli lililomfanya bosi wao Jose Mourinho kuslide uwanjani akishangilia goli hilo na Ronaldo. This was the real happiness now from Ronaldo BBC football pundit Robbie Savage alikuwa uwanjani huku Bernabeu. (quoting from BBC SPORTS) "Maicon was not at the races at all in the first half at right-back. He was a passenger and it was like City were playing with 10 men. Cristiano Ronaldo kept coming inside him. "In the second-half, Vincent Kompany looked at what was happening and came across to that wing more. Ronaldo did not...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...