Skip to main content

Jose Mourihno Adokeza Kuwasili kwa Pogba

Jose Mourinho amedokeza kuwa uhamisho wa Paul Pogba kutoka Juventus kwenda Manchester United uko karibu kukamilika.  

Akiongea kuelekea mpambano wa Community Shield dhidi ya Leicester City, manager wa United amethibitisha kuwa alikuwa akitarajia mchezaji mwingine zaidi kuwasili Old Trafford kabla ya Agosti 14.  
Ingawaje alisema hapendeleai kuongelea habari za wachezaji wa timu nyingine, lakini alisema amepungukiwa na mchezaji mmoja kwani timu  yake ya kwanza yaani first squad anataka iwe na wachezaji 23 jumlisha makipa watatu.  "We have 22 and we are going to have 23," Mourinho told a news conference. "We are going to get a very good midfielder," he added.
"Paul Pogba ni mchezaji wa Juventus hadi pale atakapokoma kuwa hivyo rasmi, hivyo tunabaki hivyo.'' Alisema Mourihno.
Mourinho alisema pia kuwa anatarajia kuutumia mchezo wa Jumapili kutoa nafasi ya kutosha kwa wachezaji wake. s 
"Tunaweza kufanya mabadiliko ya wachezaji mara sita badala ya tatu, hivyo hiyo inatoa muda kwao.'' Alisema. 
"Pia inanipa nafasi ya kuchezesha wachezaji ambao najua hawawezi kucheza dakika 90, kwani hawawezi kucheza dakika 90. Na tutajaribu kushinda mechi hiyo.'' 
Leicester manager Claudio Ranieri apia alisema anatarajia mchezo kuwa wa ushindani. l 
"Tutatoa ushindani wa kutosha kama wao ''Manchester United'', itakuwa ni mechi ya nguvu sana.'' Alisema Ranieri ambaye itakuwa ni mara yake ya kwanza kama manager katika uwanja wa Wembley.

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

The Happy Di Matteo..!

Roberto Di Matteo watched his attacking stars inspire a 5-4 extra-time victory over Manchester United and he preferred to savour a second night of high-scoring league cup thrills rather than focus on "the other stuff" in football. The Chelsea manager did not need to spell out what he meant, in the wake of the league fixture against United on Sunday, when his team's controversial 3-2 home defeat was followed by the allegation that the referee Mark Clattenburg had racially abused Mikel John Obi. There had also been spite in the stands. Di Matteo focused on the flair and spirit that his team had shown here, when they came from behind three times to force the extra period, with the substitute Eden Hazard scoring from the penalty spot with the very last kick of normal time. Hazard's quick feet and sumptuous reverse pass created what proved to be the decisive fifth goal late in extra-time for Ramires. "Over the last two days we have seen...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...