Skip to main content

RPC Singida: Tunawasiliana na TCRA uwezakano wa kumfungia Tundu Lissu kwenye mitandao ya Kijamii

Akizungumza jana na vyombo vya Habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida ACP Thobias Sedoyeka, anasema bado wanaendelea kushirikiana na mamlaka mbalimbali ikiwemo TCRA ili kuweza kuthibitisha kuwa ule ujumbe uliokuwa unasambaa kwenye mitandao ya kijamii siku aliyokamatwa Mbunge huyo huko Ikungi-Jimbo la Singida Mashariki ni wa Mbunge Mh.Tundu Lissu.



RPC anasema wataangalia uwezekano wa kuwasiliana na TCRA ili kufungia "account" za Tundu Lissu mitandaoni, magroup ya mitandao ya kijamii aliyomo Tundu Lissu, kwani anachosha kwa kuitumia mitandao hiyo kueneza chuki dhidi ya jeshi la polisi, Serikali na Rais.

Hivyo, kama kuna uwezekano ni kumuondoa humo Tundu Lissu ili kuepusha uvunjifu wa amani unaosababishwa na maandishi yake ambayo yanahatarisha amani na utulivu wa nchi. RPC Sedoyeka anasema "Tunaangalia uwezekano wa kushirikiana na TCRA,wamfungie kabisa katika magroup ya mitandao ya kijamii,anakotumia kuandika lugha ya uchochezi na ya kuudhi dhidi ya serikali na uongozi uliopo"

ACP Sedoyeka anasema endapo watathibitisha aliandika Tundu Lissu,basi watamfungulia mashtaka ya uchochezi katika Mkoa wa Singida ambapo kosa hilo lilifanyika, kwani ujumbe ule umejaa uchochezi na uchonganishi,huku ukiwa na "maneno makali" ya kuipinga Serikali iliyopo madarakani.

Uonavyo wewe ni sahihi kufungia account zake katika mitandao ya kijamii?

Source: JamiiForum

Comments

Popular posts from this blog

Britney Spears' Busy Vegas Weekend With New Beau. Via abc News

Britney Spears keeps it busy in Sin City. The "Scream & Shout" singer spent last weekend in Las Vegas but she wouldn't have come at all if her much-discussed Vegas residency was not a "done deal," the Las Vegas Sun reported. With new boyfriend David Lucado in tow, Spears flew to Vegas Friday and checked into Caesars Palace, the Sun reported. She attended a charity Cirque du Soleil performance, sneaking in just as the curtain went up and leaving just before the show ended. Spearstweeted a photo of herself, Lucado and her manager, Larry Rudolph, smiling in their seats together. Spears' management and production team met with executives at Caesars Entertainment Saturday, which owns Planet Hollywood, and then checked out the PH Live theater, where Brit will have her residency. Spears, Lucado and her entourage then lunched at the Meatball Spot restaurant, owned by Top Chef Seattle contestant Carla Pellegrino. The couple chowed down on meatball s...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...

Jones With A Knee Surgery

Bleacher Report Writes: Manchester United defender Phil Jones is facing up to eight weeks on the sidelines after having surgery on a knee injury, the club has announced.   Jones, 20, has yet to make an appearance this season after hurting his back during pre-season and suffered this latest injury in training. "Phil Jones has had surgery on a knee meniscus tear sustained in training," said a United spokesman. "It will require six to eight weeks of rehabilitation." Jones, whose last competitive appearance for United was against Sunderland on the final day of last season, is understood to have suffered his latest injury in training earlier this week. The England international was sent for a scan on his right knee which has confirmed he requires an extensive period of rehabilitation. Jones was believed to be close to returning following back spasms when he damaged his knee. ...