Skip to main content

Tha ''Battle'' Of FA CUP Chelsea vs Man United

Ukiangalia kwa haraka haraka unaweza kutoa matokeo ya mechi hii hata kabla haijachezwa na wala hakuna mtu atakaekushangaa kwa huo ndio mtazamo wa mashabiki wengi wa soka na hata wataalam wa uchambuzi wa kimataifa wa soka. Kwanza Manchester United alichezea kichapo cha magoli 4-0 pale Darajani wakati wa mechi yao ya Premier League dhidi ya Chelsea, mechi ambayo kwa mujibu wa Jose Mourinho ni kwamba 'ilianza na goli' hivyo hakujua nani wa kumlaumu. Leo Man United na Mourihno wanarudi tena Darajani katika robo fainali hii ya FA cup wakiwa na kumbukumbu zile zile za kichapo.

Kwa matazamo mwingine ukiiangalia Manchester United utagundua sio ile iliyopigwa 4=0 na Chelsea kwa maana kwamba imebadilika kwa kiasi kikubwa wakiwa na ari, nguvu na determination ya ushindi, huku wakiwa wamecheza mechi nyingi zaidi bila kupoteza katika mashindano mbalimbali ya ndani na ya nje.

Lakini je, Manchester United wakiwa ndio mabingwa watetezi wa kombe hili la FA watakubali kuupoteza mchezo huu muhimu kwao hata kama wanakutana na Chelsea ambao wanaonekana kuwa na nguvu zaidi yao. Lakini pia je, Chelsea wao wapo tayari kweli kuupoteza mchezo huu na hatimae wayaage mashindano haya kwa kufungwa na Man United? Hayo ni maswali tu ambayo unapaswa kujiuliza na nina uhakika majibu utakayojipatia yatakuchanganya hata wewe mwenyewe kwani mechi hii inatarajiwa kuwa ngumu na inayofananishwa na fainali.

Mourihno, meneja wa Manchester United akidai kuwa kuna uwezekano Chelsea wakacheza mchezo wa kujilinda zaidi kitu ambacho kinapingwa na Konte, meneja wa Chelsea.

Mourinho akimzungumzia Rashford

"Ni maamuzi yake mwenyewe. Anajua kuwa ndiye mshambuliaji pekee mwenye nafasi kubwa ya kucheza na hawezi kukwepa hilo'' 

VIKOSI
CHELSEA
Courtois; Azpilicueta, Luiz, Cahill; Moses, Kante,  Matic, Alonso; Willian, Costa, Hazard.
Substitutes Begovic, Fabregas,  Zouma, Pedro, Batshuayi, Terry, Chalobah. 

MAN UNITED
De Gea; Jones, Smalling, Rojo; Valencia,  Ander Herrera, Pogba, Darmian; Mkhitaryan, Rashford, Young.
Substitutes Romero,  Bailly, Mata, Lingard, Carrick, Blind, Romero, Fellaini.

 Referee Michael Oliver (Northumberland)

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

The Happy Di Matteo..!

Roberto Di Matteo watched his attacking stars inspire a 5-4 extra-time victory over Manchester United and he preferred to savour a second night of high-scoring league cup thrills rather than focus on "the other stuff" in football. The Chelsea manager did not need to spell out what he meant, in the wake of the league fixture against United on Sunday, when his team's controversial 3-2 home defeat was followed by the allegation that the referee Mark Clattenburg had racially abused Mikel John Obi. There had also been spite in the stands. Di Matteo focused on the flair and spirit that his team had shown here, when they came from behind three times to force the extra period, with the substitute Eden Hazard scoring from the penalty spot with the very last kick of normal time. Hazard's quick feet and sumptuous reverse pass created what proved to be the decisive fifth goal late in extra-time for Ramires. "Over the last two days we have seen...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...