Katika harakati za kutokomeza matatizo ya minyoo na magonjwa ya kichocho serikali imetoa chanjo jijini Arusha Jana kwenye mashule mbalimbali likiwa ni zoezi la kitaifa ambalo linaenda kwa awamu kadhaa.
Jana nilifanikiwa kushuhudia zoezi hilo likifanyika katika shule ya Highridge iliyopo maeneo ya Njiro/PPF karibu na General tyre.
Utoaji huo wa dawa hizo ulikuwa ni kwa wanafunzi wa kuanzia shule ya awali hadi darasa la saba.
Nikiongea na mwalimu Alia John wa Highridge kuhusu changamoto ya zoezi hilo alisema, "Kuna baadhi ya watoto wachache sana walitapika baada ya kupewa dawa hizo, na wazazi wachache kukosa imani na dawa hizo na kujaribu kuzui watoto wao wasipewe lakini mara baada ya kupewa elimu walikubaliana na zoezi hilo kufanyika kwa watoto wao." Alisema mwalimu Alia John ambaye alikuwa mmojawapo wa maofisa walioshiriki katika zoezi hilo.
25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...
Comments