Skip to main content

Manchester United Walinda Heshima Nyumbani. United 1, Spurs 0

Goli lilipigwa na super sub Anthony Martial lilitosha jana kuipa Manchester United ushindi katika dimba la nyumbani Old Trafford na kuwanyamazisha kabisa Totten Ham Spurs na mashabiki wao.

Spurs wako kwenyw form ya hali ya juu na inashikilia nafasi ya tatu kwenye masimamo wa ligi hiyo ya EPL nyuma ya United na vinara wakiwa ni Manchester City.

Katika mchezo huo uliokuwa mkali na wa kusisimua, timu zote mbili zilicheza vizuri na kuwa na kosakosa za hapa na pale hasa Man United ambao walionekana wenye ari ya ushindi hasa ikizingatiwa walikuwa nyumbani.

Wengi walitarajia kwamba United wangepaki basi kama walivyofanya nyumbani kwa Liverpool ama kupoteza mchezo huo kama ilivyotokea nyumbani kwa Huddersfield, lakini matarajio yao hayo yaliyoyoma na kushuhudia Manager wa United José Mourihno akimtoa Marcus Rashford na kumwingiza Anthony Martial ambaye baada ya muda alipokea pande toka kwa Romelu Lukaku aliyempasia kwa kichwa (assist) naye bila ajizi aliwatoka mabeki wa Spurs na kuupeleka mpira kushoto kwa kipa wa Spurs na kuandika bao pekee na la ushindi kwa Manchester United ambao wamefikisha pointi 23 wakiwazidi Spurs kwa point 3 na kuendelea kushikilia nafasi ya 2 nyuma ya vinara Manchester City.

Katika mchezo huo ulishuhudiwa makocha wa pande zote mbili wakiwa watulivu wakitoa maelekezo ya hapa na pale kwa wachezaji wao. Na wakati wa half time wakielekea vyumbani, Mourihno akionekana akiwaambia mashabiki wa United watulie kwani nafasi ushindi bado ilikuwepo. Mashabiki hao walionekana kutotulia na kutaka kumlaumu manager wao kwa nini hakuna ushindi au kwa nini timu inachelewa kufunga goli.

Ngome ya United ilionekana kuwa imara ikiongozwa na Eric Bailly, Smalling, Valencia na Jones, walicheza kwa utulivu na mawasiliano ya hali ya juu kuhakikisha ushindi unapatikana bila kuruhusu goli yaani clean shit wazungu wanasema.

Katika mechi nyingine za Premier League ilishuhudiwa Arsenal wakiwanyuka Swansea City 2-1, Chelsea wakipata ushindi wa 1-0 na Man City wakiwafunga West Brom 3-2. Crystal Palace wakitoka sare ya 1-1 na West Ham, huku Watford wakinyukwa 1-0 na Stoke City. 

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

Hawa Ndiyo Real Madrid Waliowafunga Man City Champions League Jana Usiku

Man City wakiwa wanaongo za kwa 2-1 dhidi ya Real Madrid huku zikiwa zimebaki dakika si zaidi  ya tatu walionekana kama ingekuwa ni timu ya tatu ya Uingereza kuifunga Madrid kwenye uwanja wa Bernabeu. Lakini vijana hao wa Mancini badala ya kuinza kampeni yao kwa ushindi walijikuta wakiachwa nyuma na kuwaangalia Madrid wakiibuka na ushindi baada ya Karim Benzema kusawazisha na kisha Cristiano Ronaldo kufunga goli la tatu na la ushindi, goli lililomfanya bosi wao Jose Mourinho kuslide uwanjani akishangilia goli hilo na Ronaldo. This was the real happiness now from Ronaldo BBC football pundit Robbie Savage alikuwa uwanjani huku Bernabeu. (quoting from BBC SPORTS) "Maicon was not at the races at all in the first half at right-back. He was a passenger and it was like City were playing with 10 men. Cristiano Ronaldo kept coming inside him. "In the second-half, Vincent Kompany looked at what was happening and came across to that wing more. Ronaldo did not...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...