Skip to main content

Manchester United Walinda Heshima Nyumbani. United 1, Spurs 0

Goli lilipigwa na super sub Anthony Martial lilitosha jana kuipa Manchester United ushindi katika dimba la nyumbani Old Trafford na kuwanyamazisha kabisa Totten Ham Spurs na mashabiki wao.

Spurs wako kwenyw form ya hali ya juu na inashikilia nafasi ya tatu kwenye masimamo wa ligi hiyo ya EPL nyuma ya United na vinara wakiwa ni Manchester City.

Katika mchezo huo uliokuwa mkali na wa kusisimua, timu zote mbili zilicheza vizuri na kuwa na kosakosa za hapa na pale hasa Man United ambao walionekana wenye ari ya ushindi hasa ikizingatiwa walikuwa nyumbani.

Wengi walitarajia kwamba United wangepaki basi kama walivyofanya nyumbani kwa Liverpool ama kupoteza mchezo huo kama ilivyotokea nyumbani kwa Huddersfield, lakini matarajio yao hayo yaliyoyoma na kushuhudia Manager wa United José Mourihno akimtoa Marcus Rashford na kumwingiza Anthony Martial ambaye baada ya muda alipokea pande toka kwa Romelu Lukaku aliyempasia kwa kichwa (assist) naye bila ajizi aliwatoka mabeki wa Spurs na kuupeleka mpira kushoto kwa kipa wa Spurs na kuandika bao pekee na la ushindi kwa Manchester United ambao wamefikisha pointi 23 wakiwazidi Spurs kwa point 3 na kuendelea kushikilia nafasi ya 2 nyuma ya vinara Manchester City.

Katika mchezo huo ulishuhudiwa makocha wa pande zote mbili wakiwa watulivu wakitoa maelekezo ya hapa na pale kwa wachezaji wao. Na wakati wa half time wakielekea vyumbani, Mourihno akionekana akiwaambia mashabiki wa United watulie kwani nafasi ushindi bado ilikuwepo. Mashabiki hao walionekana kutotulia na kutaka kumlaumu manager wao kwa nini hakuna ushindi au kwa nini timu inachelewa kufunga goli.

Ngome ya United ilionekana kuwa imara ikiongozwa na Eric Bailly, Smalling, Valencia na Jones, walicheza kwa utulivu na mawasiliano ya hali ya juu kuhakikisha ushindi unapatikana bila kuruhusu goli yaani clean shit wazungu wanasema.

Katika mechi nyingine za Premier League ilishuhudiwa Arsenal wakiwanyuka Swansea City 2-1, Chelsea wakipata ushindi wa 1-0 na Man City wakiwafunga West Brom 3-2. Crystal Palace wakitoka sare ya 1-1 na West Ham, huku Watford wakinyukwa 1-0 na Stoke City. 

Comments

Popular posts from this blog

Britney Spears' Busy Vegas Weekend With New Beau. Via abc News

Britney Spears keeps it busy in Sin City. The "Scream & Shout" singer spent last weekend in Las Vegas but she wouldn't have come at all if her much-discussed Vegas residency was not a "done deal," the Las Vegas Sun reported. With new boyfriend David Lucado in tow, Spears flew to Vegas Friday and checked into Caesars Palace, the Sun reported. She attended a charity Cirque du Soleil performance, sneaking in just as the curtain went up and leaving just before the show ended. Spearstweeted a photo of herself, Lucado and her manager, Larry Rudolph, smiling in their seats together. Spears' management and production team met with executives at Caesars Entertainment Saturday, which owns Planet Hollywood, and then checked out the PH Live theater, where Brit will have her residency. Spears, Lucado and her entourage then lunched at the Meatball Spot restaurant, owned by Top Chef Seattle contestant Carla Pellegrino. The couple chowed down on meatball s...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...

Jones With A Knee Surgery

Bleacher Report Writes: Manchester United defender Phil Jones is facing up to eight weeks on the sidelines after having surgery on a knee injury, the club has announced.   Jones, 20, has yet to make an appearance this season after hurting his back during pre-season and suffered this latest injury in training. "Phil Jones has had surgery on a knee meniscus tear sustained in training," said a United spokesman. "It will require six to eight weeks of rehabilitation." Jones, whose last competitive appearance for United was against Sunderland on the final day of last season, is understood to have suffered his latest injury in training earlier this week. The England international was sent for a scan on his right knee which has confirmed he requires an extensive period of rehabilitation. Jones was believed to be close to returning following back spasms when he damaged his knee. ...