Skip to main content

#EPL. MANCHESTER UNITED 2, CHELSEA 1.

MANCHESTER UNITED 2, CHELSEA 1
Willian kwa Chelsea,  Lukaku na Lingard kwa Man United. Man of the match:  Romelu Lukaku,  one goal and one assist.

#AbelRKayUpadates

Vyombo vingi vya habari katika uchambuzi wao juu ya mechi hii viliipa Chelsea dalili kubwa ya kushinda game hii wakati vingine vikitoa uchambuzi wenye kuleta utata lakini ukifwatilia vilionesha kui favor the blues.
Lakini nilipofwatilia mitandao ya kubeti ilionesha Manchester United kuizidi Chelsea kwa pointi kidogo, sasa sijui kama walikuwa wanajaribu kuwa deceive watu ili wapoteze bet zao. Hilo wanalijua wao.

Nijualo mimi ni hili hapa: -
FT:  Manchester United possession 44% na Chelsea 56%.
Dak ya 32 willian anawaandikia Chelsea bao safi sana na kumfanya David De Gea kuchukia vile defenders wake waliacha gap kizembe na kusababisha kuwa nyuma kwa goli moja. Lakini dak 7 baadae yaani dak ya 39 zilipigwa pasi ndani ya 18 ya Chelsea na hadi kuwafanya watu wasahau kuwa hiyo ni man United. Pasi iliyomkuta Anthony Martial aliyeipeleka kwa Lukaku naye akajikuta akimtazama Courtois na huku defenders was Chelsea wakiwa wameduwaa basi akatazama kushoto kwa Courtois lakini mpira akaujaza kulia kwake yaani macho ku mchuzi mkono ku ubwabwa na kusawazisha yaani ikawa 1-1. Hiyo ilienda hadi mwisho first half.

Kipindi cha pili kilishuhudiwa Martial akitolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Jesse Lingard.  Alionekana Lukaku akiwa upande wa kulia aliyeachia krosi safi sana iliyomkuta Lingard aliyechumpa na kuukwamisha mpira kwenye nyavu za Courtois na kuandikia United bao la 2 na la ushindi.

Kwa ushindi huu unaifanya United kurudia nafasi yake ya 2 iliyoshikwa na Liverpool kwa chini ya saa 20.

Mourinho na Conte walikuwa watulivu sana leo wakinong'onezana jambo na kucheka na mwisho wa game wakipeana mikono bila shida yoyote.

Baada ya goli la 2 muda flani Sanchez alitolewa na akaingia Eric Bailly huku akibeba kikaratasi chenye ujumbe toka kwa Mourinho kwenda kwa Nemanja Matic. Inasemekana alimwambia kueneza habari kwa wenzake kuwa goli 2 zatosha na kwa sababu muda unayoyoma basi wapaki basi tu yatosha.

Kijana Mctominay ameonekana kupevuka kisoka hasa kwenye mechi kubwa. Ameonekana Leo akifanya kazi ambayo wengi walitarajia ingefanywa na Herrera ambaye ni majeruhi. Vyombo kadhaa vya habari jana na leo vilimwita he is too young lakini kawaonesha he is too young kwa kuzaliwa tu bali kisoka he is mastering it.

Lukaku kawa man of the match kwa kazi nzuri ya kunyamazisha watu aka haters wake kwa kuifunga his former club na kutoa assist kwa his teammate Lingard.

Pogba alikuwa anathema kama anawatania Chelsea kwani alifanya vitu jinsi alivyotaka yeye. He is a big man.

#AbelRKayUpdate

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

This is How Manchester City Won Easily Against Sunderland

The New York Times Reported that, Manchester City turned on the style Saturday, easing to a 3-0 victory over visiting Sunderland that lifted the team to second place in England’s Premier League Aleksandar Kolarov scored from a free kick after five minutes, and Sergio Agüero and James Milner added goals in the second half to secure a convincing win.  By ending Sunderland’s unbeaten start, City maintained its own and won consecutive league matches for the first time this season.  “We played very well and took no risks,” City Manager Roberto Mancini told Sky Sports television. The team rediscovered its defensive solidity even without its back-line linchpin and captain, Vincent Kompany, who was out with a calf injury.  Micah Richards made a surprise return from an ankle injury, and Joleon Lescott was also restored to the defense. Yaya Touré took over as captain, playing alongside Gareth Barry in the midfield, while Carlos Tévez and Mario...