Skip to main content

#EPL. MANCHESTER UNITED 2, CHELSEA 1.

MANCHESTER UNITED 2, CHELSEA 1
Willian kwa Chelsea,  Lukaku na Lingard kwa Man United. Man of the match:  Romelu Lukaku,  one goal and one assist.

#AbelRKayUpadates

Vyombo vingi vya habari katika uchambuzi wao juu ya mechi hii viliipa Chelsea dalili kubwa ya kushinda game hii wakati vingine vikitoa uchambuzi wenye kuleta utata lakini ukifwatilia vilionesha kui favor the blues.
Lakini nilipofwatilia mitandao ya kubeti ilionesha Manchester United kuizidi Chelsea kwa pointi kidogo, sasa sijui kama walikuwa wanajaribu kuwa deceive watu ili wapoteze bet zao. Hilo wanalijua wao.

Nijualo mimi ni hili hapa: -
FT:  Manchester United possession 44% na Chelsea 56%.
Dak ya 32 willian anawaandikia Chelsea bao safi sana na kumfanya David De Gea kuchukia vile defenders wake waliacha gap kizembe na kusababisha kuwa nyuma kwa goli moja. Lakini dak 7 baadae yaani dak ya 39 zilipigwa pasi ndani ya 18 ya Chelsea na hadi kuwafanya watu wasahau kuwa hiyo ni man United. Pasi iliyomkuta Anthony Martial aliyeipeleka kwa Lukaku naye akajikuta akimtazama Courtois na huku defenders was Chelsea wakiwa wameduwaa basi akatazama kushoto kwa Courtois lakini mpira akaujaza kulia kwake yaani macho ku mchuzi mkono ku ubwabwa na kusawazisha yaani ikawa 1-1. Hiyo ilienda hadi mwisho first half.

Kipindi cha pili kilishuhudiwa Martial akitolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Jesse Lingard.  Alionekana Lukaku akiwa upande wa kulia aliyeachia krosi safi sana iliyomkuta Lingard aliyechumpa na kuukwamisha mpira kwenye nyavu za Courtois na kuandikia United bao la 2 na la ushindi.

Kwa ushindi huu unaifanya United kurudia nafasi yake ya 2 iliyoshikwa na Liverpool kwa chini ya saa 20.

Mourinho na Conte walikuwa watulivu sana leo wakinong'onezana jambo na kucheka na mwisho wa game wakipeana mikono bila shida yoyote.

Baada ya goli la 2 muda flani Sanchez alitolewa na akaingia Eric Bailly huku akibeba kikaratasi chenye ujumbe toka kwa Mourinho kwenda kwa Nemanja Matic. Inasemekana alimwambia kueneza habari kwa wenzake kuwa goli 2 zatosha na kwa sababu muda unayoyoma basi wapaki basi tu yatosha.

Kijana Mctominay ameonekana kupevuka kisoka hasa kwenye mechi kubwa. Ameonekana Leo akifanya kazi ambayo wengi walitarajia ingefanywa na Herrera ambaye ni majeruhi. Vyombo kadhaa vya habari jana na leo vilimwita he is too young lakini kawaonesha he is too young kwa kuzaliwa tu bali kisoka he is mastering it.

Lukaku kawa man of the match kwa kazi nzuri ya kunyamazisha watu aka haters wake kwa kuifunga his former club na kutoa assist kwa his teammate Lingard.

Pogba alikuwa anathema kama anawatania Chelsea kwani alifanya vitu jinsi alivyotaka yeye. He is a big man.

#AbelRKayUpdate

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

The Happy Di Matteo..!

Roberto Di Matteo watched his attacking stars inspire a 5-4 extra-time victory over Manchester United and he preferred to savour a second night of high-scoring league cup thrills rather than focus on "the other stuff" in football. The Chelsea manager did not need to spell out what he meant, in the wake of the league fixture against United on Sunday, when his team's controversial 3-2 home defeat was followed by the allegation that the referee Mark Clattenburg had racially abused Mikel John Obi. There had also been spite in the stands. Di Matteo focused on the flair and spirit that his team had shown here, when they came from behind three times to force the extra period, with the substitute Eden Hazard scoring from the penalty spot with the very last kick of normal time. Hazard's quick feet and sumptuous reverse pass created what proved to be the decisive fifth goal late in extra-time for Ramires. "Over the last two days we have seen...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...