Skip to main content

FIFA WORLD CUP 2018 GROUP D: ARGENTINA WACHARAZWA 3 MZUKA NA CROATIA NA KULIA UWANJANI. SASA WATEGEMEA KUPENYA TUNDU LA SINDANO ILI KUSONGA MBELE

FIFA WORLD CUP 2018 GROUP D: ARGENTINA WACHARAZWA 3 MZUKA NA CROATIA NA KULIA UWANJANI. SASA WATEGEMA KUPENYA TUNDU LA SINDANO ILI KUSONGA MBELE


>Argentina Waadhibiwa 3-0 na Croatia kwenye mechi ya kundi D world cup 2018

>Ni kichapo kikali kwa Argentina katika hatua ya makundi

>Croatia wasonga mbele kwa mara ya kwanza tangu m2aka 1998


Miaka takribani minne wakati Argentina walipopoteza dhidi ya Germany na Germany kutwaa ubingwa wa dunia, maelfu ya Wargentina walivunjika moyo. Sasa kwa kilichotokea kwenye mechi ya jana nadhani kinachoma moto kwenye makovu ya wargentina tena.


Argentina yenye wachezaji wengi wazurina maarufu akiwemo Lionel Messi ilitazamiwa kufanya makubwa hasa kwenye mechi yake ya pili ya hatua ya makundi lakini mambo yakageuka na kuwa vilio kutawala uwanjani utadhani kuna watoto au wanawake wanalia.


Nafasi nyingi walizozikosa katika mashambulizi yao zikigeuka kuwa neema kwa Croatia ambao hawakufanya ajizi kwenye nafasi zao na kuanzia kioindi cha pili ndipo wakaanza kuwabadilikia wapinzani wao na kuanza kuwasulibisha mithili ya jambazi aliyekuwa akisakwa kwa muda mrefu na sasa anapatikana....... kipigo chake hicho sasa!


Siku nne toka sasa ndipo itajulikana kama Argentina wanayaaga mashindano ama la. Na kwa sasa nadhani labda wafanye mazoezi ya kujifunza kupenya kwenye tundu la sindano ndipo waweze kusonga mbele na kama hawataweza kufuzu kupenya tunduni mwa sindano basi wasahau kusonga mbele kwenye mashindano haya ya kombe la dunia.


Argentina were completely outplayed by Croatia na kupewa kichapo kikali cha aibu cha 3 bila. 


Wengi humwangalia Lionel Messi na yeye pia analijua hili lakini tatizo linakuja pale matazamio ya wengi yanapofelishwa na timu pinzani ambao hawataki kujali wala kutambua Messi ndio nani.


Vilio vilitawala wakati na baada ya mechi huku shujaa wa soka wa Argentina Diego Maradona akishindwa kuamini kinachotokea uwanjani na kuungana na wachezaji kutoa kilio bila kujizuia ila yeye akililia jukwaani huku wachezaji wakililia uwanjani na vyumbani.


Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?

Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champions League hopes alive. The Bleacher Report wrote. Rooney said all this after Joe Hart showed a very wonderful play when his team met Dortmund yesterday. According to Bleacher Report , the Manchester United striker was quick to praise City 's No 1 - also his England team-mate - after Hart produced a series of world-class saves in a pulsating 1-1 draw with Borussia Dortmund at the Etihad Stadium. Although City also created a number of chances, Hart's performance kept them in the contest before Mario Balotelli snatched a first point in Group D with a contentious last-minute penalty. Hart denied the German champions on eight occasions and Rooney - whose club manager Sir Alex Ferguson was in the crowd - was one of many observers hugely impressed. Hart could do little to prevent Dortmund taking the lead jus...