Skip to main content

2018 FIFA World Cup Final. France 4 - 2 Croatia


2018 World Cup Final. France 4-2 Croatia


- Ufaransa wameshinda Kombe la Dunia kwa Mara ya pili kwa ushindi mnoni baada ya kuwapiga bila hueuma Croatia kwa 4-2 jijini Moscow.



- Wavamizi wanne wavamia uwanja huku mwingine akikutana uso kwa uso na Kylian Mbappé na kuopeana nae Hi5.


- Ufaransa walipata goli la mapema kunako dakika ya 18 tu baada ya kupigwa mpira wa adhabu na kumkuta Mario Mandzukic aliyejifunga kwa goli safi kabisa.


- Dakika 10 baadae Perisic akaisawazishia Croatia. 


- Lakini Ufaransa wakarudi tena na kupata goli la pili kwa njia ya penalty iliyopigwa na Antoine Griezmann baada ya Perisic kunawa mpira. 



- Magoli ya Paul pogba na Mbappé yakaihakikishia Ufaransa ushindi kabla ya Mandzukic kufunga goli la pili kwa Croatia baada ya Lloris kufanya blunder na mpira kunaswa na mfungaji. 


Hivyo FT: UFARANSA BUNGWA WA KOMBE LA DUNIA 2018 RUSSIA


#Abelrkay

Comments

Popular posts from this blog

MAKUNDI CHAMPIONS LEAGUE NA SHIRIKISHO AFRIKA

Yanga Sc kundi A Klabu Bingwa Afrika na Simba Sc kundi A Shirikisho Afrika. Hapo chini ndio mpangilio wa makundi na timu zake. Je, nani kati ya timu zetu za bongo atatoboa kwenda robo fainali? Weka maoni yako kwenye komenti tafadhali.

Hawa Ndiyo Real Madrid Waliowafunga Man City Champions League Jana Usiku

Man City wakiwa wanaongo za kwa 2-1 dhidi ya Real Madrid huku zikiwa zimebaki dakika si zaidi  ya tatu walionekana kama ingekuwa ni timu ya tatu ya Uingereza kuifunga Madrid kwenye uwanja wa Bernabeu. Lakini vijana hao wa Mancini badala ya kuinza kampeni yao kwa ushindi walijikuta wakiachwa nyuma na kuwaangalia Madrid wakiibuka na ushindi baada ya Karim Benzema kusawazisha na kisha Cristiano Ronaldo kufunga goli la tatu na la ushindi, goli lililomfanya bosi wao Jose Mourinho kuslide uwanjani akishangilia goli hilo na Ronaldo. This was the real happiness now from Ronaldo BBC football pundit Robbie Savage alikuwa uwanjani huku Bernabeu. (quoting from BBC SPORTS) "Maicon was not at the races at all in the first half at right-back. He was a passenger and it was like City were playing with 10 men. Cristiano Ronaldo kept coming inside him. "In the second-half, Vincent Kompany looked at what was happening and came across to that wing more. Ronaldo did not...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...