Skip to main content

PEREIRA YUKO TAYARI KUPAMBANIA NAMBA UNITED-MOURINHO

Mourinho Anaamini Kuwa Pereira Sasa Yupo Tayari Kupambania Namba at Old Trafford


Mourinho amefunguka na kusema kuwa kwa sasa Pereira wamepata nguvu ya kiakili kwa ajili ya kupambania position kwenye kikosi cha Man United. 


Kiungo huyo wa miaka 22 ameshacheza kwenye mechi zote mbili za premier league za United na tayari ameitwa kwenye kikosi cha Brazil kwa Mara ya kwanza kwa ajili ya mashindano ya UEFA Nations League dhidi ya USA na El Salvador. 


Boss huyo wa United ameweka wazi kuwa kwa Pereira kucheza misimu miwili nchini Hispania akiwa Granada na Valencia kwa mkopo kumemsaidia sana kujijenga kiakili kisoka. 


"Sikufurahia kwa kutokucheza kwenye namba yake alipokuwa Valencia", Mourinho alisema. 


" Lakini na maono ya kibinadamu ilimsaidia sana kupata ujuzi, amekuwa mwanaume sasa na ana utayari kiakili na kimwili."


"Halafu likaja swala la Premier league Kumchezesha nafasi ambao tunadhani inamfaa zaidi, kumwelimisha na kumfanya aielewe nafasi yake." 


"Kutokana na ukweli kwamba tulikuwa na viungo watatu pekee kwenye mechi za preseason ilimfanya acheze mechi zote kwa dakika 90, kitu ambacho kilikuwa kizuri sana kwake." 


Ingawaje alicheza mechi zote mbili za premier league, lakini alipumzishwa Mara baada ya kipindi cha kwanza kwisha walipokutana na Brighton wiki iliyopita. Pia anaweza kupata nafasi nyingine pale United watakapokutana na Spurs Jumatatu usiku dimbani Old Trafford.

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

The Happy Di Matteo..!

Roberto Di Matteo watched his attacking stars inspire a 5-4 extra-time victory over Manchester United and he preferred to savour a second night of high-scoring league cup thrills rather than focus on "the other stuff" in football. The Chelsea manager did not need to spell out what he meant, in the wake of the league fixture against United on Sunday, when his team's controversial 3-2 home defeat was followed by the allegation that the referee Mark Clattenburg had racially abused Mikel John Obi. There had also been spite in the stands. Di Matteo focused on the flair and spirit that his team had shown here, when they came from behind three times to force the extra period, with the substitute Eden Hazard scoring from the penalty spot with the very last kick of normal time. Hazard's quick feet and sumptuous reverse pass created what proved to be the decisive fifth goal late in extra-time for Ramires. "Over the last two days we have seen...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...