Skip to main content

PEREIRA YUKO TAYARI KUPAMBANIA NAMBA UNITED-MOURINHO

Mourinho Anaamini Kuwa Pereira Sasa Yupo Tayari Kupambania Namba at Old Trafford


Mourinho amefunguka na kusema kuwa kwa sasa Pereira wamepata nguvu ya kiakili kwa ajili ya kupambania position kwenye kikosi cha Man United. 


Kiungo huyo wa miaka 22 ameshacheza kwenye mechi zote mbili za premier league za United na tayari ameitwa kwenye kikosi cha Brazil kwa Mara ya kwanza kwa ajili ya mashindano ya UEFA Nations League dhidi ya USA na El Salvador. 


Boss huyo wa United ameweka wazi kuwa kwa Pereira kucheza misimu miwili nchini Hispania akiwa Granada na Valencia kwa mkopo kumemsaidia sana kujijenga kiakili kisoka. 


"Sikufurahia kwa kutokucheza kwenye namba yake alipokuwa Valencia", Mourinho alisema. 


" Lakini na maono ya kibinadamu ilimsaidia sana kupata ujuzi, amekuwa mwanaume sasa na ana utayari kiakili na kimwili."


"Halafu likaja swala la Premier league Kumchezesha nafasi ambao tunadhani inamfaa zaidi, kumwelimisha na kumfanya aielewe nafasi yake." 


"Kutokana na ukweli kwamba tulikuwa na viungo watatu pekee kwenye mechi za preseason ilimfanya acheze mechi zote kwa dakika 90, kitu ambacho kilikuwa kizuri sana kwake." 


Ingawaje alicheza mechi zote mbili za premier league, lakini alipumzishwa Mara baada ya kipindi cha kwanza kwisha walipokutana na Brighton wiki iliyopita. Pia anaweza kupata nafasi nyingine pale United watakapokutana na Spurs Jumatatu usiku dimbani Old Trafford.

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

Hawa Ndiyo Real Madrid Waliowafunga Man City Champions League Jana Usiku

Man City wakiwa wanaongo za kwa 2-1 dhidi ya Real Madrid huku zikiwa zimebaki dakika si zaidi  ya tatu walionekana kama ingekuwa ni timu ya tatu ya Uingereza kuifunga Madrid kwenye uwanja wa Bernabeu. Lakini vijana hao wa Mancini badala ya kuinza kampeni yao kwa ushindi walijikuta wakiachwa nyuma na kuwaangalia Madrid wakiibuka na ushindi baada ya Karim Benzema kusawazisha na kisha Cristiano Ronaldo kufunga goli la tatu na la ushindi, goli lililomfanya bosi wao Jose Mourinho kuslide uwanjani akishangilia goli hilo na Ronaldo. This was the real happiness now from Ronaldo BBC football pundit Robbie Savage alikuwa uwanjani huku Bernabeu. (quoting from BBC SPORTS) "Maicon was not at the races at all in the first half at right-back. He was a passenger and it was like City were playing with 10 men. Cristiano Ronaldo kept coming inside him. "In the second-half, Vincent Kompany looked at what was happening and came across to that wing more. Ronaldo did not...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...