Skip to main content

UPENDO NI FARAJA

Simu yake iliita kwa sauti msikitini wakati wa swala, ilikuwa bahati mbaya.

Imama alitoa khutba fupi ya mawaidha baada ya swala akimwelezea jamaa huyo kama mfano wa waumini wazembe.

Waumini wengine walimlaumu baada ya swala kwa kuwasababishia usumbufu katika swala zao.

Mkewe naye hakubaki nyuma, wakati wakirudi nyumbani aliendelea kumpa maneno kuhusu uzembe wake mpaka wanaingia nyumbani.

Ndugu wengine walitikisa vichwa vyao kuonesha kukerwa sana na jambo alilolifanya.

Alionekana kufedheheka, kuaibika na kudhalilika sana. Hilo lilijionesha usoni mwake.

Hakukanyaga tena msikitini.

Jioni ile alielekea Baa.

Alionekana mwenye mhemko na kutetemeka.

Alimwaga kinywaji chake mezani, chupa ilidondoka kwa bahati mbaya na kuwamwagikia baadhi ya watu.

Wale waliomwagikiwa na kinywaji chake walimkimbilia. Alifumba macho akitrajia kuzabwa vibao au kuambiwa maneno makali.

Badala yake walimuuliza kama ameumizwa na kipande cha chupa iliyovunjika.

Mhudumu alimpa pole na kumpa tishu ajisafishe.

Mfanyakazi wa usafi alisafisha sakafu.

Meneji wa kike alimpa kinywaji kingine kufidia kinywaji chake. Pia alimkumbatia na kumpiga busu shavuni huku akimwambia: "Usihofu. Kila mtu hufanya makosa".

Tangu wakati huo hajaacha kwenda baa.

#FUNZO

Wakati mwingine tabia zetu kama waumini huwakimbiza watu wazuri na kuwasukumia motoni. Tunadhani kuwa tunajua kila kitu. Tunadhani kuwa tuna hakika mia kwa mia kuwa tutaingia Peponi.

Unaweza kubadilisha hali ya mambo kutokana na unavyoamiliana na watu, hasa pale wanapofanya makosa.

* Kama huwezi kuwa daraja la kuunganisha watu, basi usiwe ukuta wa kuwatenganisha. 

*Kama huwezi kuwa taa ya kuyaangazia mema ya watu, basi usiwe giza la kuzifunika juhudi zao.

* Kama huwezi kuwa maji yanayosaidia kustawisha mazao ya watu, basi usiwe mdudu anayeharibu mazao yao. 

* Kama huwezi kuwa chanjo ya uhai, basi usigeuke kuwa virusi vya kukatisha uhai.

* Kama huwezi kuwa penseli ya kuandikia furaha ya mtu, basi jaribu kuwa ufutio mzuri wa kuondosha huzuni yake. 

Daima tunaweza kuwa walinzi kwa wenzetu, tuwe na azma ya kuiponya dunia na kuifanya kuwa sehemu bora. Naam, tunaweza.

#UPENDO NI DARAJA KATI YAKO NA KILA KITU.

Imetafsiriwa na Maalim Ibrahim Kabuga.

#MoyoFoundation #Upendo #UislamuNiUpendo

Comments

Popular posts from this blog

Britney Spears' Busy Vegas Weekend With New Beau. Via abc News

Britney Spears keeps it busy in Sin City. The "Scream & Shout" singer spent last weekend in Las Vegas but she wouldn't have come at all if her much-discussed Vegas residency was not a "done deal," the Las Vegas Sun reported. With new boyfriend David Lucado in tow, Spears flew to Vegas Friday and checked into Caesars Palace, the Sun reported. She attended a charity Cirque du Soleil performance, sneaking in just as the curtain went up and leaving just before the show ended. Spearstweeted a photo of herself, Lucado and her manager, Larry Rudolph, smiling in their seats together. Spears' management and production team met with executives at Caesars Entertainment Saturday, which owns Planet Hollywood, and then checked out the PH Live theater, where Brit will have her residency. Spears, Lucado and her entourage then lunched at the Meatball Spot restaurant, owned by Top Chef Seattle contestant Carla Pellegrino. The couple chowed down on meatball s...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...

Jones With A Knee Surgery

Bleacher Report Writes: Manchester United defender Phil Jones is facing up to eight weeks on the sidelines after having surgery on a knee injury, the club has announced.   Jones, 20, has yet to make an appearance this season after hurting his back during pre-season and suffered this latest injury in training. "Phil Jones has had surgery on a knee meniscus tear sustained in training," said a United spokesman. "It will require six to eight weeks of rehabilitation." Jones, whose last competitive appearance for United was against Sunderland on the final day of last season, is understood to have suffered his latest injury in training earlier this week. The England international was sent for a scan on his right knee which has confirmed he requires an extensive period of rehabilitation. Jones was believed to be close to returning following back spasms when he damaged his knee. ...