Skip to main content

UPENDO NI FARAJA

Simu yake iliita kwa sauti msikitini wakati wa swala, ilikuwa bahati mbaya.

Imama alitoa khutba fupi ya mawaidha baada ya swala akimwelezea jamaa huyo kama mfano wa waumini wazembe.

Waumini wengine walimlaumu baada ya swala kwa kuwasababishia usumbufu katika swala zao.

Mkewe naye hakubaki nyuma, wakati wakirudi nyumbani aliendelea kumpa maneno kuhusu uzembe wake mpaka wanaingia nyumbani.

Ndugu wengine walitikisa vichwa vyao kuonesha kukerwa sana na jambo alilolifanya.

Alionekana kufedheheka, kuaibika na kudhalilika sana. Hilo lilijionesha usoni mwake.

Hakukanyaga tena msikitini.

Jioni ile alielekea Baa.

Alionekana mwenye mhemko na kutetemeka.

Alimwaga kinywaji chake mezani, chupa ilidondoka kwa bahati mbaya na kuwamwagikia baadhi ya watu.

Wale waliomwagikiwa na kinywaji chake walimkimbilia. Alifumba macho akitrajia kuzabwa vibao au kuambiwa maneno makali.

Badala yake walimuuliza kama ameumizwa na kipande cha chupa iliyovunjika.

Mhudumu alimpa pole na kumpa tishu ajisafishe.

Mfanyakazi wa usafi alisafisha sakafu.

Meneji wa kike alimpa kinywaji kingine kufidia kinywaji chake. Pia alimkumbatia na kumpiga busu shavuni huku akimwambia: "Usihofu. Kila mtu hufanya makosa".

Tangu wakati huo hajaacha kwenda baa.

#FUNZO

Wakati mwingine tabia zetu kama waumini huwakimbiza watu wazuri na kuwasukumia motoni. Tunadhani kuwa tunajua kila kitu. Tunadhani kuwa tuna hakika mia kwa mia kuwa tutaingia Peponi.

Unaweza kubadilisha hali ya mambo kutokana na unavyoamiliana na watu, hasa pale wanapofanya makosa.

* Kama huwezi kuwa daraja la kuunganisha watu, basi usiwe ukuta wa kuwatenganisha. 

*Kama huwezi kuwa taa ya kuyaangazia mema ya watu, basi usiwe giza la kuzifunika juhudi zao.

* Kama huwezi kuwa maji yanayosaidia kustawisha mazao ya watu, basi usiwe mdudu anayeharibu mazao yao. 

* Kama huwezi kuwa chanjo ya uhai, basi usigeuke kuwa virusi vya kukatisha uhai.

* Kama huwezi kuwa penseli ya kuandikia furaha ya mtu, basi jaribu kuwa ufutio mzuri wa kuondosha huzuni yake. 

Daima tunaweza kuwa walinzi kwa wenzetu, tuwe na azma ya kuiponya dunia na kuifanya kuwa sehemu bora. Naam, tunaweza.

#UPENDO NI DARAJA KATI YAKO NA KILA KITU.

Imetafsiriwa na Maalim Ibrahim Kabuga.

#MoyoFoundation #Upendo #UislamuNiUpendo

Comments

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

The Happy Di Matteo..!

Roberto Di Matteo watched his attacking stars inspire a 5-4 extra-time victory over Manchester United and he preferred to savour a second night of high-scoring league cup thrills rather than focus on "the other stuff" in football. The Chelsea manager did not need to spell out what he meant, in the wake of the league fixture against United on Sunday, when his team's controversial 3-2 home defeat was followed by the allegation that the referee Mark Clattenburg had racially abused Mikel John Obi. There had also been spite in the stands. Di Matteo focused on the flair and spirit that his team had shown here, when they came from behind three times to force the extra period, with the substitute Eden Hazard scoring from the penalty spot with the very last kick of normal time. Hazard's quick feet and sumptuous reverse pass created what proved to be the decisive fifth goal late in extra-time for Ramires. "Over the last two days we have seen...

Read What Shakira Says. Via Yahoo!

Looking at  Shakira  and her fabulous figure you might be surprised to learn it was only three months ago that she gave birth to son Milan. But the “Hips Don’t Lie” singer reveals that dropping the pounds was no cake walk. While promoting “The Voice” in Pasadena, California, on Monday, the blond bombshell revealed, "[Losing baby weight] is the only thing that’s been a little stressful … I knew I had to come back here to do ‘The Voice’ two months after I had delivered a baby. I didn’t have my four months of maternity like every woman on Earth has. I’m not trying to complain, but it’s been a process full of challenges.” Photo source: omg INSIDER & Yahoo The 36-year-old mama added that the pressure to shed the baby weight at record speed is something that she feels the previous generations didn't face. She said, “I think that our mothers and grandmothers weren’t under the pressure women of today are after delivering a baby. My dad says there’s nothing better than meat...