Skip to main content

Kikongwe wa miaka 102 apona corona virus Genoa, Italia

#ITVUPDATES:Italica Grondona mwanamke mwenye miaka 102 amepona ugonjwa wa Corona baada ya kukaa hospitali mjini Genoa nchini Italia kwa zaidi ya siku ishirini.

#ItvTanzania
#CNN

Comments