Wagonjwa wa corona waongezeka Tanzania April 13, 2020 Wagonjwa wa corona waongezeka TanzaniaWaziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu ametangaza ongezeko la wagonjwa wengine wapya 14 wa virusi vya Corona nchini.Wagonjwa hao wote ni Watanzania, kati yao 13 wako Dar es Salaam na mmoja wa Arusha.#ITVTanzania Share Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Share Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Comments
Comments