Skip to main content

Posts

Je, Ulimfahamu Meles Zenawi.? Mjue Hapa Kidogo

Alikuwa ni Waziri Mkuu wa Ethiopia. Pamoja na kuwa na utawala wa kiimla lakini alifanya mambo mengi mazuri yaliyokubalika na nchi  yake pamoja na kimataifa.  Kifo chake kimeleta huzuni sana kwa taifa lake na  Afrika kwa ujumla kwani alikuwa ni mtu mwenye  ushirikiano mzuri na viongozi wenzake wa Afrika. Juu na chini ni wananchi wa Ethiopia wakiomboleza  kifo cha waziri mkuu Meles Zenawi   Huyu ni Hailemariam ambaye alikuwa ni makamu wake  na sasa amechukua nafasi yake na alikuwa anategemea  kuapishwa kuwa waziri mkuu wa Ethiopia.

Ulisikia Habari za Muuaji Wa Watu 77.? Huyu Hapa..!!

Anders Breivik aliua watu 77 na kufungwa miaka 21 pekee. Huku mwenyewe akijitetea kwa kusema kuwa anayekiri makosa ya uuaji lazima afungwe miaka 10 tu. Hizo ndiyo sheria za nchini Norway.Lakini kama akimaliza kutumikia kifungo na akaonekana bado ni tishio kwa jamii anaweza kuzuiliwa kufunguliwa kwake.  Hapa akiwa anawasikli mahakamani  Hapa amenyoosha ngumi kusalimia mahakama Hapa ni kumbukumbu ya watuj aliowaua Source: The Sun

Barclays Premier League: Who Will Continue Losing Today?

As Written By HITC SPORT Manchester United, QPR, Norwich City, Tottenham Hotspur, Liverpool, Wigan Athletic, Aston Villa and Southampton all suffered defeats. Who will make it two in a row? Here is a look at the eight 'losers' from the first week of Premier League action, and their prospects going into the weekend's fixtures. Manchester United United were surprise losers in their opening game, the first time they had done so in eight years, when they were toppled at Goodison Park by an excellent Everton side. Everton were deserving winners and United's defensive issues were one of the root causes of them. Jonny Evans is tipped to return for the visit of Fulham, which will allow Michael Carrick to take his place in the centre of midfield. Robin van Persie making his home debut will be hungry for a goal, but United have to figure out how to get the best out of him. Fulham will not roll over easily, and only lost 1-0 at Old Trafford last season. The...

Habari Zaidi Kuhusu Chelsea Hizi Hapa

1. Fernando Torres Awaasa Wenzake   Fernando Torres ambaye inaonekana ameuanza msimu vizuri sana Amewaambai wenzake kwamba kama wanataka kuutwaa ubingwa wa Uingereza basi wasifanye makosa yoyote katika msimu huu wa ligi. Kesho Jumamosi 25 Julai Chelsea watapambana na Newcastle kwenye uwanja wa Stamford Bridge wakiwa kileleni mwa ligi kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2010 baada ya kushinda mechi zao mbili za kwanza. Torres alisema, "Hatuwezi kupoteza mechi mapema kwani Man City walishinda mechi nyingi msimu uliopita. Hivyo tunahitaji kuanza ligi vizuri. Siku zote ni muhimu kuanza vizuri na ukiangalia msimamo unaiona Chelsea iko juu. Pointi tisa kwa mechi tatu za kwanza ndilo lengo letu." Alisema Muhispania huyo wa Chelsea na kuongeza, "Ni muhimu baada ya mechi 10 kwa timu kuendelea kubakia kileleni, hivyo itamaanisha kwamba hiyo ndiyo nafasi yako." Msimu uliopita Chelsea walishinda ligi ya mabingwa pamoja na FA Cup lakini Torres anakubali kwamba kushi...

Picha 13 za Mechi Ya Barcelona Dhidi Ya Madrid Hizi Hapa

Barcelona waliibuka na ushindi wa magoli 3-2 dhidi  ya madrid ambao ndiyo walikuwa wa kwanza kuliona  lango la Barcelona kupitia kwa Cristiano Ronaldo. Barcelona walikuja juu na kufanikiwa  kufunga magoli yao matatu kupitia  kwa Lionel Messi, Xavi na Pedro Goli la pili na Madrid lilifungwa na  Di Maria baada ya uzembe uliofanywa  na kipa wa Barcelona na Di Maria  kuunasa mpira na kufunga goli.  Mourinho, kocha wa Madrid alisema  baada ya mechi kuwa hakuridhishwa  sana na jinsi timu yake ilivyocheza  kipindi cha kwanza kwani  Barcelona waliwabana sana. Kocha wa Barcelona naye alisema  kuwa alitamani sana matokeo  yangekuwa 3-1, lakini siyo mbaya  kwani wamecheza  vizuri na kustahili ushindi.