Skip to main content

SPIKA AVUNJA KAMATI YA BUNGE

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda, jana aliivunja kamati ya bunge ya Niashati na Madini baada ya  kamati hiyo kutuhumiwa kuhusika na rushwa.

 Spika Anne Makinda

Wajumbe wa kamati hiyo wametuhumiwa na wabunge wenzao wiki hii kupokea rushwa toka kwa makampuni ya mafuta waliotaka wapewe tenda ya kusambaza mafuta kwa Independent Power Tanzania Limited (IPTL).

Makinda lifikia hatua ya kuvunja kamati hiyo baada ya mbunge wa Namtumbo Vita Kawawa kumwomba kufanya hivyo.

Kwa mujibu wa Makinda, kamati zote zinazotuhumiwa kwa mwenendo mbaya zitafanyiwa uchunguzi na zikikutwa na mmomonyoko wa maadili zitavunjwa na kisha kuhojiwa na tume ya maadili ya bunge chini ya mwenyekiti wake Bregadia Jenerali Mstaafu Hassan Ngwilizi.

Wajumbe wa kamati iliyovunjwa ni:-
Seleman Zedi (mwenyekiti), Diana Chilolo (mwenyekiti msaidizi), John Mnyika (Ubungo -Chadema), Yusuf Khamis (Nungwi- CUF), Mariam Kisangi (viti maalumu- CCM), Catherine Magige (viti maalumu- CCM), Abia Nyakabari (viti maalumu-CCM), Charles Mwijage (Muleba Kaskazini- CCM), naYusuf Nassir (Korogwe mjini- CCM).

Wengine ni:-
Christopher Ole-Sendeka (Simanjiro-CCM), Dr Festus Limbu (Magu mjini- CCM), Shaffin Sumar (Tabora Kaskazini-CCM), Lucy Mayenga (viti maalumu-CCM), Josephine Chagulla (viti maalumu- CCM), Mwanamrisho Abama (viti maalumu - Chadema), David Sillinde (), Suleiman Suleiman (Kishapu- CCM), Kisyeri Chambiri (Babati mjini-CCM), Munde Abudallah (viti maalumu - CCM), Sara Ally (viti maalumu-CCM), Vicky Kamata (viti maalumu- CCM), Mbarouk Ali (Wete-CUF), na Pamela Pallangyo (katibu).

Comments

Cornel Elikana said…
Wacha spika afanye hivo maana kila kukicha waoo wanaongeza vitambi huku mwananchi wa kijijini anahangaika

Popular posts from this blog

These are Said to Be the Best Goalkeepers in the World, Ranking from 1-25

25. Stephane Ruffier, Saint-Etienne Had Stephane Ruffier not sustained a groin injury in 2011, Monaco might never have been relegated to Ligue 2. But he did, and they were, and that summer the then-24-year-old goalkeeper joined Saint-Etienne, rebuffing Manchester City in the progress. This season he played all 38 Ligue 1 matches for Les Verts for a second season in succession, conceding just 32 goals as his side finished a surprising fifth in the standings and qualified for the Europa League. 24. Pepe Reina, Liverpool Only Joe Hart kept more Premier League clean sheets than Pepe Reina in 2012-13. In a season that saw Liverpool finish a disappointing seventh in the English top-flight, the 30-year-old managed to keep things respectable from a defensive standpoint, conceding only 34 goals and stopping 88 per cent of the shots he faced. To finish the season he conceded just a single goal in his last four matches. 23. Mariano Andujar, Catania Only Parma managed ...

MANCHESTER UNITED VS CHELSEA #EPL TODAY AT OLD TRAFFORD STADIUM

MANCHESTER UNITED vs CHELSEA FC LEO #EPL USIKOSE NA USIKUBALI KUSIMULIWA #TheBattleAtOldTrafford:  Jioni ya leo miamba ya kabumbu la Uingereza inakutana katika mpambano unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua. Manchester United leo wanawakaribisha mahasimu wao Chelsea pale Old Trafford kwenye mchezo wa round ya pili ya Premier League. Ikumbukwe kuwa Katika mchezo wa kwanza walipokutana pale Stamford Bridge Chelsea waliwanyuka Man United 1-0,  goli lililofungwa na Alvaro Morata kwa kichwa. Kuna kama kauadui flani hivi kati ya makocha Antonio Conte wa Chelsea na José Mourinho wa Man United. Na huu ni uhasimu ambao kila mmoja wao anajaribu kuuficha na kuonesha kuwa hawana shida kati yao. Mourinho amenena kuwa game kati ya timu hizi mbili ni ya kawaida kwake kama game nyingine nyingine na hakuna chochote special kuihusu. Lukaku, Rashford, Martial,  Matic,  Pogba, De Gea  na wengineo wanategemewa kuongoza kikosi cha man United leo huku Morata, Fabregas, Pe...

Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?

Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champions League hopes alive. The Bleacher Report wrote. Rooney said all this after Joe Hart showed a very wonderful play when his team met Dortmund yesterday. According to Bleacher Report , the Manchester United striker was quick to praise City 's No 1 - also his England team-mate - after Hart produced a series of world-class saves in a pulsating 1-1 draw with Borussia Dortmund at the Etihad Stadium. Although City also created a number of chances, Hart's performance kept them in the contest before Mario Balotelli snatched a first point in Group D with a contentious last-minute penalty. Hart denied the German champions on eight occasions and Rooney - whose club manager Sir Alex Ferguson was in the crowd - was one of many observers hugely impressed. Hart could do little to prevent Dortmund taking the lead jus...