Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2014

Hahaha Eti Pellegrini Adai Chelsea Wanacheza Kama Watoto! Duh bonge dongoo!

Kocha mkuu wa Man City Manel Pellegrino ametoa kali kwa kurusha dongo kwa mbabe mwenzako Mourinho pale aliporopoka kuwa timu yake inacheza kama watoto wa shule... Duh madenti yaani kabisa. "Ilionekana kama tumecheza dakika tisini dhidi ya timu ndogo inayojaribu kukaba tu, kuweka wachezaji kumi mbele ya lango lao." Baadhi ya maneno ya kejeli yalomtoka Pellegrini.

Mourinho Bhana... Eti kamnunia Lampard!

Hayo yalitokea baada ya nyota Frank Lampard kuifungia timu yake mpya ya Manchester City bao la kusawazisha dhidi ya timu yake ya zamani Chelsea wakati miamba hiyo ilipovaana katika mpambano mkali wa Premier League mule Uingereza siku ya Jumapili iliyopita. Lampard akicheza kwa mara ya kwanza dhidi ya timu aliyoichezea kwa takribani miaka kumi na tatu, alifunga bao hilo zikiwa zimesalia dakika chache sana mpira uishe. Huku goli la Chelsea likikwamishwa na Andre Schurrle katika dakika ya sabini. Lampard alishangiliwa na mashabiki baada ya mechi maisha hasa wale wa Chelsea lakini Mourinho alionekana kununa pale alipoulizwa kuhusu mapenzi ya Lampard kwa Chelsea. "Lampard ni mchezaji wa Manchester City, alipoamua kwenda kwenda timu pinzani basi swala la mapenzi limeishia hapo. Kumwongelea Frank ni kuongelea maisha yangu ya zamani na Frank." Hayo baadhi tu ya maneno aliyobwabwaja Mourinho siku hiyo.

See How Joe Hart Failed to Stop Jerome Boaten from Scoring at the 90th Minute, Including more Details of Manchester City v Bayern Munich

Every time Manchester City play Bayern Munich they see how high the Champions League pinnacle is. They learn that Abu Dhabi's billions are no guarantee of success against elite clubs who know every blade of grass in this competition. - See more at: Manchester City goalkeeper Joe Hart fails to stop Jerome Boateng's shot in the final minutes of the Champions League game against Bayern Munich at the Allianz Arena . Per INDEPENDENCE.IE So you can start with all the fancy theories you want. This is Man City's time in Europe; time to match domestic supremacy with success on the Elysian fields of Germany and Spain. But then the game kicks off and the scale of the task becomes clear all over again. Manchester City will not win the Champions League just because an absentee owner in a gulf state says it really is about time they did. There are no automatic graduations - as Jerome Boateng demonstrated with a 90th-minute winner for Bayern that finally broke Joe Hart's

Here are the Results of Champions League Opener

Jérôme Boateng scored in the 90th minute to give Bayern Munich a 1-0 victory over Manchester City in their Champions League opener in Group E.   Gerard Piqué scored the only goal in Barcelona’s 1-0 victory over Apoel, heading in Lionel Messi’s free kick in the 28th minute.   Chelsea was held to a 1-1 home tie against Schalke.   In other games, Roma routed CSKA Moscow, 5-1;   Porto beat BATE Borisov, 6-0;   Ajax tied Paris St.-Germain, 1-1;   Maribor drew with Sporting Lisbon, 1-1;   Athletic Bilbao and Shakhtar Donetsk tied, 0-0.   Per The New York Times

Manchester waianza ligi rasmi. Angalia wafungaji

Manchester united leo wamerudi katika ligi baada ya ukame wa ushindi katika mechi tatu mfululizo ambapo walifungwa game ya kwanza 1-2 na Swansea, wakienda sare na Sunderland ya 1-1 na sare nyingine ya 0-0 dhidi ya Barnley. Leo wamefanya kufuru baada ya kuwafurumusha bila huruma vijana wa QPR kwa kuwalambisha mabao 4-0 katika dimba lao la Old Trafford. Wafungaji 1. Di Maria 2. Herrera 3. Rooney 4. Mata Huku United wakiwatumia kwa Mara ya kwanza Rojo, Herrera na Falcao na Blind. Kikosi kilikuwa imara kiasi kwamba ilifanya game kuwa rahisi sana kwa United kuzoa pointi zote tatu.

Check matokeo ya EPL ya jana Top 5

Match results Liverpool 0-1 Aston Villa Chelsea 4-2 Swansea Crystal Palace 0-0 Burnley Southampton 4-0 New castle Stoke 0-1 Leicester Sunderland 2-2 Spurs West Brom 0-2 Everton Arsenal 2-2 Man City Top 5 Team               p    gd.    P Chelsea.         4.   9.       12 Aston Villa.    4.   3.        10 Swansea.       4.   3.       9 Southampton 4.  5.      7 Man City.        4.   3.      7