Mpaka Sasa wmeshajitokeza Mawaziri wawili na mbunge mmoja ndani ya CCM na kutangaza ni ya kugombea urais wa Tanzania huku wakisubiri ridhaa ya chama. Nao ni hawa:- 1. Mh Edward Ngoyai Lowasa ambaye ni mbunge wa Monduli na waziri mstaafu aliyetangaza nia jana 30/5/2015 jijini Arusha na kushuhudia umati mkubwa wa watu ukifulika kumsikiliza. 2. Stephen Wasira ambaye ni waziri wa kilimo ametangaza nia leo 31/5/2015 asubuhi katika ukumbi wa BOT jijini Mwanza. 3. Mwigulu Nchemba ambaye ni naibu waziri wa fedha anatangaza nia hivi Sasa katika ukumbi wa Mwl Nyerere katika Manispaa ya Dodoma yaliko makao makuu ya Serikali na CCM.
Brings You Global News!