Skip to main content

Rais Dk. John P. Magufuli atangaza kifo cha Balozi Dk. augustine Mahiga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli anatangaza kifo cha Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Balozi Dkt Augustine Philip Mahiga (Mbunge) kilichotokea leo Alfajiri tarehe 01 Mei, 2020..

Mhe.Balozi Mahiga ameugua ghafla akiwa nyumbani kwake.

#ITVTanzania

Comments

Thanh Mai said…
Khả năng chịu nước ngày càng được nâng cấp: Cốt HDF làm ván sàn được các nhà máy Châu Âu nghiên cứu và nâng cấp ngày càng phù hợp với khi hậu khu vực Châu Á của chúng ta. sàn gỗ công nghiệp chịu nước kronopolvietnam.com có thể chịu nước đến 72h mà độ giãn nở chỉ dưới 10%.

Popular posts from this blog

Joti naye auaga ukapera

Msanii wa maigizo ya vichekesho nchini maarufu kama Joti nae ameliaga kundi la makapera baada ya kufunga ndoa. Msanii Joti pia ni maarufu sana katika matangazo ya mtandao wa Tigo. Joti pia ni maarufu sana katika kuigiza sehemu mbalimbali kwani mara nyingi huigiza kama kijana wa kawaida, babu, mtoto na wakati mwingine huigiza kama msichana. Hongera sana Joti kwa kuoa! May your marriage last forever!

Ni Sawa Kwa Man City Kumuuza Mario Balotelli?

Ni mchezaji mwenye purukushani za kutosha awapo uwanjani. Purukushani zake ni za aina mbili. Zipo zile zinazoisaidia timu yake ya Man City pamoja na timu yake ya taifa ya Italy. Lakini pia zipo zile zinazowafanya siyo washabiki wa soka tu wakereke bali pia hata makocha wake. Lakini Balotelli ni mchezaji mwenye kipaji cha cha pekee kwa miongoni mwa wachezaji wa umri wake. Lakini sports director wa Man City, Brian Marwood, alikuwa na haya ya kusema kumuhusu Balotelli.   “I think that it’s important to make a good example. I think – and we all know who we are talking about – that you will get people within the system who do not show the right values and the right behavior. “In the main, we have a ­fantastic group of players here. I look at Pablo Zabaleta , I look at Vincent Kompany , I look at Joe Hart, Gareth Barry and Joleon Lescott. “I think we have a lot of players who can behave in the right way. You just have to make sure that they are the role models.” Katika ma